Jamami tuache uzushi,tcu hawawezi kuweka cutting points zao bila ya kuwa na vikao na maelewano na vyuo vyote
TCU hawako kama rais Kagame wa Rwanda jamani!
Naamini wana lengo zuri kwa vijana tusome vyuo ila kuna baadhi ya makanjanja kwenye baadhi ya vyuo ndo yanabana utadhani vyuo ni vya baba yao, yanatoka vitambi tu,,argh.... na hasira mimi.