Roy hogdson is fired

Tores

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2010
Posts
551
Reaction score
475
Wow..leo siku yangu imeenda vizuri sana na kazi nachapa ile mbaya hapa ofisini baada ya kupata taarifa ya kua Roy hogdson amefukuzwa kazi.

Kenny Daglish amepewa nafasi ya kuiongoza liverpool mpaka mwisho wa msimu.

Viva bwawa la maini!!!

kenny Daglish ni kocha mwenye mafanikio makubwa sana hasa kwa kuiwezesha liverpool kuchukua double in 1980s. na vile vile aliwezesha blackburn kutwaa premier ligi 1995.

Nenda Roy tunashukuru kwa mema uliyotutendea na mabaya uliyotutendea....!!!

Kops forever!!! never walk alone! ............Source of information: www.soccernet.com

 
Matatizo yaliyopo liverpool hayajasabaishwa na Roy.

Kuna wachezaji hawana moyo tena wakuchezea liverpool mnawalazimish. Mchezaji kama Torres kuna watu watasema hayuko fit 100% lakini ukweli hana moyo wa hata 90% kuchezea liverpool kwa sasa tofauti na kipindi alichokuwepo benitez.
 
Hata kama matatizo ya Reds hayakuanza na Roy, lkn ni afadhali aende. Siyo kocha anayefaa kufundisha Liverpool. Bye bye Roy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…