Tores
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 551
- 475
Wow..leo siku yangu imeenda vizuri sana na kazi nachapa ile mbaya hapa ofisini baada ya kupata taarifa ya kua Roy hogdson amefukuzwa kazi.
Kenny Daglish amepewa nafasi ya kuiongoza liverpool mpaka mwisho wa msimu.
Viva bwawa la maini!!!
kenny Daglish ni kocha mwenye mafanikio makubwa sana hasa kwa kuiwezesha liverpool kuchukua double in 1980s. na vile vile aliwezesha blackburn kutwaa premier ligi 1995.
Nenda Roy tunashukuru kwa mema uliyotutendea na mabaya uliyotutendea....!!!
Kops forever!!! never walk alone! ............Source of information: www.soccernet.com

Kenny Daglish amepewa nafasi ya kuiongoza liverpool mpaka mwisho wa msimu.
Viva bwawa la maini!!!
kenny Daglish ni kocha mwenye mafanikio makubwa sana hasa kwa kuiwezesha liverpool kuchukua double in 1980s. na vile vile aliwezesha blackburn kutwaa premier ligi 1995.
Nenda Roy tunashukuru kwa mema uliyotutendea na mabaya uliyotutendea....!!!
Kops forever!!! never walk alone! ............Source of information: www.soccernet.com
