Royal Bloodline. Damu Takatifu

Namba ya mashetani 😁😁😁😁 tunadanganywa kweli
 
Yan umeongea mambo mazito hivyo, ulipaswa uweke source ya hki ulichosimulja[emoji53]
 
Hizi familia 13 hazijajikita kwenye nyanja moja, kila familia ipo kwenye nyanja yake na wanashirikiana pamoja kuelekea kwenye NWO.

Unaambiwa Yesu alikuwa na watoto na bado kuna kizazi chake hapa duniani ambacho kimo kwenye hizo 13 royals.
 
Mlishaambiwa wafia dini kindakindaki mkae mbali na huu uzi.
 
😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 na sisi ma matrix controled empathetic Royal Robots tunacomment wapi ?
 

Ukiangalia zaidi familia hii imeanzia kwa mtume muhamadi.
 

Truth is stranger than finction some people fear thruth and lebel it conspiracy. Kizazi cha Adam ni clones. Royal Bloodline ni real G
 
Ukiangalia zaidi familia hii imeanzia kwa mtume muhamadi.
Ikiwa ndivyo hivyo mbona mtume wa waislam Muhammad ametokea katika kizazi cha ADAM nawe umesema kuwa hawa "illuminati" wanatokea kile kizazi kisicho asili ya ADAM......

Ukisoma historia ya Uislam utamaizi kuwa mtume Muhammad ametokea katika kizazi cha IBRAHIM>ESHMAEL>KEDAR>ADNAN......mpaka Muhammad.....

Unaionaje hii?!!!
 

Mkuu ivi unajua ulichokiandika kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…