Royal Family - Tanzania hii hapa!

Royal Family - Tanzania hii hapa!

Wenzio Assad alivyokimbia tu kabla Israeli hajaanza kuzibutua zile kambi, watu waliwahi kwenye zile military hanger na chimbo zake za hashishi, watu wameshapiga hela sasa mabilionea wapya.

Utajiri hauji kirahisi, siuliona Lawrence Masha alikwenda mpaka Kwa kiboko ya wachawi.
 
Hii sio Royal Family ila ni watu wenye Pwesa haswa

Royal Family ni ile ya Former Presidaa, kijana wake na ndugu zake
 
Daaaaa hivi Royal Family kwa Tanzania ni namna gani?
Acha kuumiza kichwa, living a royal life. Kufanya vitu ambavyo wengine hawawezi. Ni ujivuni tu kwa kuwa wamepiga hatua kiuchumi. Hawa ndo wale grouo whatsap kuwa member kiingilio ni 100 million. Monthly contributiin ni 200million.
 
Member kiingilio ni 100 million.

Monthly contributiin ni 200million.
 
Back
Top Bottom