Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Hata nyege hawanaUnajua wanaume hawajui kwamba wanaume wenye hela kama hivyo huwa sio wahongaji kivile kwanza wana viburi nadharau
Kama kiingilio ni 500m mkiwa kama 100 mnaweza kupindua nchi au hata kumroga RaisπΌSawa. Benefits za wanachama za kikatiba ni zipi? Maana kama ni kusaidiana kwenye shida sioni mantiki sana ukizingatia wana pesa tayari
Kuna mmoja hapo na mimi namfahamu sikujua kama ana ukwasi wa kutoa fee ya 500m
Hyo 500m ni kwa new member bwana.Kuna mmoja hapo na mimi namfahamu sikujua kama ana ukwasi wa kutoa fee ya 500m
Sasa kula tokea lini kukamaliza hela!Wacha na mimi nipunguze kelele zianze kujaa π π π .
Kuna kiwango cha pesa ukiwa nacho, hata vibaka hawakusogelei.
I want that spirit, sijui ntawezaaa, shida nikipata pesa tuu πππ napika msosi mtamu na kuuposti insta....πππ.
Sasa kula tokea lini kukamaliza hela!
Mzee Koka hapo ana SF group ndani kuna kampuni ya laundrySawa. Benefits za wanachama za kikatiba ni zipi? Maana kama ni kusaidiana kwenye shida sioni mantiki sana ukizingatia wana pesa tayari
Koka ana hela kuna siku kununua nyumba ya jirani yetu 300m cashMzee Koka hapo ana SF group ndani kuna kampuni ya laundry
Sasa kwa kuanzia tuu anaweza kuwa anafua mizigo ya Delina apartments ya Mosha etc
Ukipata hela usisahau kunialika .mwenyewe napenda Kula vitu vitamu jamaniWee usiombe ukutane na mwanamke kama mie nnayependa kula halafu napenda kupika chakuka kizuri...
Yaani najikuta napika kama hotelini hadi setting ya meza hizo zote pesa...
Pesa yenyewe kibaba, inaisha yotee....πππ
Hii sijui ni code!!?Mzee Koka hapo ana SF group ndani kuna kampuni ya laundry
Sasa kwa kuanzia tuu anaweza kuwa anafua mizigo ya Delina apartments ya Mosha etc
Pesa zao, wametafuta kwa jasho lao, msiwapangie matumizi, kama ninyi raha yenu kusaidia masikini, saidieni, hata hivyo matajiri wengi mpaka wanafika hapo washasaidia sana, na ndio wamiliki wa hivyo vituo vya mayatima, mmebaki makapuku kulilia huruma, tafuteni pesa zenu, muache kuona wivuLakini Wanadamu sometimes wana maisha ya sifa.
Kuna watu wanakosa chakulq, mavazi, na makazi ila kuna wengine wapo busy kujiunga na vyama visivyo na maana yoyote.
Dadeq, wanakera. Bora Tsunami ije itumalize dunia iishe kabisa
Fanya mchakato basi tuweze kuona hayo madikodiko huko insta.Wee usiombe ukutane na mwanamke kama mie nnayependa kula halafu napenda kupika chakuka kizuri...
Yaani najikuta napika kama hotelini hadi setting ya meza hizo zote pesa...
Pesa yenyewe kibaba, inaisha yotee....πππ
Jamaa pesa imeanza kumtembelea kitambo tokea enzi hizo ana push Nissan yake ile ya kijivuKoka ana hela kuna siku kununua nyumba ya jirani yetu 300m cash
Ukipata hela usisahau kunialika .mwenyewe napenda Kula vitu vitamu jamani
Hakuna cha code wala kodi hapoHii sijui ni code!!?
Fanya mchakato basi tuweze kuona hayo madikodiko huko insta.
We mpuuzi unapenda watanzania wote wawe masikini?1. Kipo kikundi kinajiita Royal Family.
2. Jamaa Wana ukwasi sio poa. Kwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu - WADHIBITIWE
View attachment 3191230
View attachment 3191231