AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Sasa hao wanawake si wametak wenyewe
Acha roho mbaya
Acha roho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea, The late Reginald Mengi nasikia alikuwa anahonga sana na ku spoil wadada wengi wa mjini Joannah Joanah Miss NatafutaSure....makapuku wanajua kubembeleza na kusimamia show....middle class wanajua kuspoil na kuhonga.
Inategemea, The late Reginald Mengi nasikia alikuwa anahonga sana na ku spoil wadada wengi wa mjini Joannah Joanah Miss Natafuta
Ila malaya ni malayaWewe omba sana usioe malaya sugu.Hayo mengine utayadhibiti tu.
Yupo mbunge mmoja hatariUnafikiria vitu vya chini sana. Yaani ukwasi wa hao jamaa kilichokujia akilini ni kukut@£~~@ mkeo.
Sitaoa mkuu. YatoshaNje mada; Nikifa MkeWangu Asiolewe Na wewe mkeo akifa,hutooa? Au unamwonea mkeo tu kuwa asiolewe ukifa?
MF Gold diggerMwenyewe alijirejesha ili walau zilizobakia waweze kuchemsha mihogo wasilale njaa nami nikasema hewala shea yangu ilishaisha.
Kila la kheri shoga mapenzi yana run dunia [emoji12].
Akili za kipumbavu hizi. Sidechik wote ni jezebelAhaaaa ila wanaume wapuuzi kweli.sasa hivi utakuta anampenda mkewe Hadi 60yrs anniversary anafanya sherehe.kumbe alikuwa kitombi aliechokwa na dunia
Tuje tutoe ushuhuda jamaa alivyokuwa mhongaji🤣🤣Sijaelewa
Uliotutag ni hao wadada tuliowahi kuhongwa na Mengi ama umetutag ili kutupa taarifa kwamba Mengi alikuwa muhongaji?
Kabisa!pesa ni kila kitu lakini si kila kitu😅Si hata davis mosha ndoa imemshinda, kuishi na mke siyo hela tu kuna mambo mengi sana kufanya mwanamke akupende na akuheshimu
Unaweza kumlaumu Mosha ,ila unaweza kuta hela zake ndizo zilizomponza, ukiwa na hela fake friend na malaya ni wakuwa nao makini kwani wengi waigizaji.Inawezekana aliona mke sahihi kumbe ni malaya na mdangaji,aliye jivisha nguo ya mke mwema.Si hata davis mosha ndoa imemshinda, kuishi na mke siyo hela tu kuna mambo mengi sana kufanya mwanamke akupende na akuheshimu