Kumbe wanaume middle class na makupuku ndio wahongaji na wabembelezaji!Unajua wanaume hawajui kwamba wanaume wenye hela kama hivyo huwa sio wahongaji kivile kwanza wana viburi nadharau
Mwingine huyu huku👇 huenda nguvu yao imeshika kasiKwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu
Kwahiyo unamaanisha achague moja kati ya royal au hotpotHuyo mkeo asipoliwa na royal family ataliwa na hotpot family ya mtaani kwenu
Kwamba hao wanazaliwa kwa njia nyingine tofuati na kupenda K au?Wachaga Kwanza Hawana muda na k
Wewe omba sana usioe malaya sugu.Hayo mengine utayadhibiti tu.
Chuki usiku mwema.Lakini Wanadamu sometimes wana maisha ya sifa.
Kuna watu wanakosa chakulq, mavazi, na makazi ila kuna wengine wapo busy kujiunga na vyama visivyo na maana yoyote.
Dadeq, wanakera. Bora Tsunami ije itumalize dunia iishe kabisa
Sure....makapuku wanajua kubembeleza na kusimamia show....middle class wanajua kuspoil na kuhonga.Kumbe wanaume middle class na makupuku ndio wahongaji na wabembelezaji!
Kabisa...muda wote wamelewa ma henessy huku wanawaza mipango yao ya ndoaHata nyege hawana
Umeandika kama umeamini ile habari ya Baltazar😂?ile ni AIlakini somehow unakuta ameshenyenta Ke 100+ na karekodi video zaidi ya 400 kaweka kwa laptop yake
Hakika ni maiti tu .....muda ukifika zinakwenda kwa ground kiroho safiusiwaogope mkuu!! hizo ni maiti!!!
Ni kweli lkn serekali yetu imezubaa kudhibiti vitu kama hivi. Kamwe msiruhusu makundi yanye ukwasi mwingi bila kuyadhibiti ni hatari kwa nchi.Kama kiingilio ni 500m mkiwa kama 100 mnaweza kupindua nchi au hata kumroga Rais🐼
Hauwezi kutoboa bila ya kuwa na team nzuri ya watu, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Nenda ka-google ''Paypal Mafia''. Mitandao inatudangayna kuwa unaweza ukatoboa wewe peke yako . Au kuwa kuna mabilionea ni self made. Hakuna kitu kama hicho kuna watu inabidi mshikane mikono muinuane. Umesema wadhibiti makundi ya watu wenye ukwasi mwingi. Hawa watu wametengeneza ajira na hela yao wanaiwekeza hapa hapa nyumbani. Nenda Upanga , na Masaki ukajionee wahindi na waarabu wenye ukwasi. Hapa Tanzania wana nyumba moja au mbili na kiwanda lakin hela zao zote wanazirudisha makwao. Hata ukiangalia wanaongoza kutembelea Magari ya mabilioni ya hela ni wahindi na waarabu.Je unajua wafanyakazi wao wnawalipa shilingi ngapi ? Kuna wahindi wanapewa tenda za mabilioni na serikali huku wana wafanyakazi chini ya 200 na wanawalipa 250000 mpaka 300000 kwa mwezi. Mpaka unajiuliza serikali ipo wapi ? Hawa wana makundi makali zaii ambayo ni ya kiukoo(Kwa waarabu) au ki-caste (Kwa Wahindi). Haya makundi yao hauwezi kuingia kama sio wao au jaamii yao. Hata matajiri wa kiarabu hawafanyi bishara na kila mwarabu kuna ukoo hawatakiwi kujishusisha nazo. Vivyo hivyo pia kwa wahindi, Mo hawezi kufanya bishara na Mtu wa Punjabi Kwa sababu yupo caste tofauti na yeye ambaye ni Mtu wa Gujirati. Hivi vitu Royal family hawajavianzisha wameiga kutoka kwa hawa jamaa. Lakini Royal family haina kikwazo cha asili au jamii ni uwezo tu wa kuwa na mawazo yanayofanana.Ni kweli lkn serekali yetu imezubaa kudhibiti vitu kama hivi. Kamwe msiruhusu makundi yanye ukwasi mwingi bila kuyadhibiti ni hatari kwa nchi.
Fisiemu jitahidini kubaki kuwa wakubwa.
Msiruhusu kundi jingine lijiinue mkawa wakubwa wawili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaskazini na Mademu sio kivilee hao wangekuwa wa Songea kweli wake zenu huko daslama wangekoma