Royal Tour inaweza kugeuka kashifa kwa Rais Samia itayotumiwa na wapinzani kwenye kampeni za 2025 panapo Tume Huru ya Uchunguzi

Royal Tour inaweza kugeuka kashifa kwa Rais Samia itayotumiwa na wapinzani kwenye kampeni za 2025 panapo Tume Huru ya Uchunguzi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nia na dhamira inaweza ya kufanya hii tour inaweza kuwa ni nzuri, ila sidhani kama wamefanya utafiti wa kutosha kuhusu namna sahihi ya kuitengeneza/kuifanya ili kupata matokeo mazuri.

Aina ya washiriki ndio wanaoweza kuifanya hii tour ilete matokeo chanya, na wanaoshiriki akiwemo Rais Samia, sidhani kama pekee yao wanakidhi vigezo vya kufanya hii tour iwe na ushawishi kwa walengwa(watalii).

Hivyo, endapo tour hii itakuwa na matokeo hafifu huku imetumia gharama kubwa kuiandaa, basi hii itakuwa kashifa ya kisiasa kwa walioiandaa na zaidi kwa Rais Samia na hii itamgharimu kisiasa hasa kwenye kampeni za 2025 kwani wapinzani wataitumia tour hii kueleza mojawapo ya failure ya Rais Samia na Serikali yake.

Tupiganie Tume Huru kuyaona haya 2025.
 
Si mmesusia chaguzi zote mpaka itakapopatikana katiba mpya. Mara hiu mmesahau
 
😁😁😁🤣🤣🤣 Kwa 2025 mtashiriki uchaguzi?
 
Na Ni kwanini iitwe Royal Tour?
Some times tunapenda Sana kukuza mambo na yanapobuma tunabaki na aibu kubwa.
 
Tafuta pesa lipa Kodi, hawa wanasiasa hawana cha maana zaidi ya kuchumia matumbo yao
 
Gia zinabadilishwa angani tume huru na katiba mpya wapi na wapi mkuu.

Kaeni kwenye katiba mpya hapo tume huru itakuja automatically ila bila katiba mpya hakuna cha tume huru
Ndio maana nimesema iwapo tutapata Tume Huru.
 
Back
Top Bottom