Royal Tour ndo ishasahaulika?

Royal Tour ndo ishasahaulika?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Utatukumbusha wewe ifikapo 2024, move ndo ipo season1 huwezi kuielewa, so wait acha negativity, after sometime utakuja kushukuru humu
 
Jana niliangalia kipindi changu pendwa cha "Jeopardy" kinachotangazwa na tv moja huko kwenu USA kuna maswali mawili ambayo majibu yake ni mlima Kilimanjaro na mbuga ya wanyama ya Serengeti....kibaya hawakutaja kuwa ni vya Tanzania badala yake walisema "Afrika"...nguvu ya kutangaza Royal Tour imeharibika Bure!
 
Jana niliangalia kipindi changu pendwa cha "Jeopardy" kinachotangazwa na tv moja huko kwenu USA kuna maswali mawili ambayo majibu yake ni mlima Kilimanjaro na mbuga ya wanyama ya Serengeti....kibaya hawakutaja kuwa ni vya Tanzania badala yake walisema "Afrika"...nguvu ya kutangaza Royal Tour imeharibika Bure!
Kwani walikosea nini, si kweli Tanzania ipo Afrika.
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Tupate kwanza list ya wadau waliochanga hela ya kufanikisha hili zoezi.
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Yule mzungu muhuni tu
 
Billion Saba imepotea kinyemela mam afikishwe mahakama za kifisadi kujibu tuhuma zianzomkabili za kusababishia hasara wananchi ya billion Saba huku akijuwa kuwa kufanya hvyo Ni ufisadi na Ni kutojali pesa za wafuja jasho la taifa hili

Ikiwa atadhibitika atakwenda jela moja kwa moja na kwa kifungo Cha miaka 27 bila dhamana
 
Kesho wapo Zanzibar... Kumbuka kuwa hata Mwinyi yupo katika RT.... Jumapili watakuwepo Dar na baada ya show watatoa nakala na haki ya kuionyesha kwa vituo vyote vya TV vya Tanzania.

Awali wameshatoa nakala kwa vituo 350 vya USA... ambapo itaonyeshwa kwa muda wa miezi sita.

Hapana shaka utaiona tu kupitia moja ya local tv hapo mtaani kwako...
 
Back
Top Bottom