Royal Tour Tanzania inavyozidi kuzaa matunda

Royal Tour Tanzania inavyozidi kuzaa matunda

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Kundi la Watalii zaidi ya 60 linalojumuisha Madaktari na Wanasheria kutoka Nchini Marekani leo tarehe 26 Julai 2022,wamewasili eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwa ajili ya kutembelea Vivutio mbalimbali vilivyoko katika hifadhi hiyo.

Wageni hao ambao wanaendelea kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii waliwasili nchini tarehe 23 Julai, 2022 na kupokelewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja.

Idadi ya watalii inazidi kuongezeka nchini ni matokeo ya filamu ya Royal Tour iliyokuwa ikionyesha vivutio vilivyopo Tanzania na hivyo kuvutia wageni kuja.
 
Sasa kila anae kuja ni Royal tour.

Pesa ishapigwa na wajanja, 7B.

Kama hujui; Sasa hivi tunatumia pesa nyingine kutangaza utalii na kuwa lipa maajenti wa utalii.
 
Kundi la Watalii zaidi ya 60 linalojumuisha Madaktari na Wanasheria kutoka Nchini Marekani leo tarehe 26 Julai 2022,wamewasili eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwa ajili ya kutembelea Vivutio mbalimbali vilivyoko katika hifadhi hiyo.

Wageni hao ambao wanaendelea kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii waliwasili nchini tarehe 23 Julai, 2022 na kupokelewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja.

Idadi ya watalii inazidi kuongezeka nchini ni matokeo ya filamu ya Royal Tour iliyokuwa ikionyesha vivutio vilivyopo Tanzania na hivyo kuvutia wageni kuja.

Asiyejua utalii ndio ataamini huo utapeli uitwao roho tua.
 
Kundi la Watalii zaidi ya 60 linalojumuisha Madaktari na Wanasheria kutoka Nchini Marekani leo tarehe 26 Julai 2022,wamewasili eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwa ajili ya kutembelea Vivutio mbalimbali vilivyoko katika hifadhi hiyo.

Wageni hao ambao wanaendelea kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii waliwasili nchini tarehe 23 Julai, 2022 na kupokelewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja.

Idadi ya watalii inazidi kuongezeka nchini ni matokeo ya filamu ya Royal Tour iliyokuwa ikionyesha vivutio vilivyopo Tanzania na hivyo kuvutia wageni kuja.
Asante kwa taarifa,maendeleo tunayaona.
 
Uzi kama huu,wa kuleta mafanikio,huwezi kupata,wachangiaji wengi.Ungeleta uzi wa uongo,wa kushuka kwa mapato,ingekuwa uko no #200
 
Waziri husika na uongozi wa KINAPA waangalie swala la kuzuia waongoza watalii ambao hawajalipia leseni zao kwa mwaka huu. Kwani hali husika ya tulipotokea ilikua ngumu, cha kufanya kama mtu hajafanya kazi yoyote season hii wamuache aende kazi pia watoboe leseni yake ili asipite nayo tena akisharudi.

Pili muda wa malipo ufanye leseni iwe valid hadi mwezi aliolipia mwakani, sio January wanazuia tena wote wenye leseni zilizo expire wakati mwingine kalipia June
 
Back
Top Bottom