Royal Tour yaibua maswali mengi kuliko majibu

Royal Tour yaibua maswali mengi kuliko majibu

share

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2008
Posts
6,064
Reaction score
10,468
Ni kwamba,
1. Hii filamu tunaambiwa imegharamu Tshs 7 bn. Mpaka Leo hatujaambiwa ni kina nani wamechangia gharama hizi.

2. Tunaambiwa Peter at el ndiyo wenye hati miliki yaani copyright. Hivyo filamu ni yao na watalipwa wao. Sasa kwa Tanzania ina tafsiri IPI?

3. Huyu Peter ameshafanya Royal Tour nchini Rwanda na hakukuwa matokeo chanya. Sasa Tanzania itakuwa tofauti?

4. Imeripotiwa kuwa delegation ya Rais Samia huko Marekani imefanya kufuru ya matumizi ya fedha za umma kwenye hotel ya Ritzs. Je huu si uhujumi uchumi?

Wadau na wakereketwa wa uchumi wa TZ mnasemaje.
 
Ukitaka kuumiza kichwa juu ya mambo ya aina hii, basi jiandae tu kuondoka hapa duniani kabla ya muda wako kufika.
 

HII Royal Tour, Imetunyoa Nyota Zote

Naamini Ubabaifu Ni Mwingi Mno Jumlisha Ukakasi
 
Bado mpo tu na mahangaiko yenu?!!! Ndo ameshaupiga mwingi hivyo, lieni tu hadi mgae gae chini.......tangu jk wa kwanza mpaka jpm hakuna aliyefikia hatua hiyo
 
Afrika tumeumbwa na ubinafsi mno, hivi viongozi wetu hawaoni aibu kula hela kiasi hicho wakati zadi ya miaka 60 ya uhuru maji ni tatzo sugu?
 
Back
Top Bottom