RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

"Askari" huko Γ lipo anazidi kuhaha tu maana jinamizi la binti bado linawaandama na mpaka hapa naona halitawaacha salama!
 
Huyu RPC kangolewa kiboya sana
Yote kutaka kulindana

Ova
 
Kufa kufaana. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Mdomo umemponza, uchunguzi ule ni wa kihuni sana.

Natamani kuona Serikali kupitia jeshi la Polisi libadilishe mfumo wa maombi, wazingatie ufaulu mzuri kujiunga na jeshi hilo na sio kufanya kama wafanyavyo sasa.
 
Achana na cheo alicho nacho. Being RPC anakua na mamlaka makubwaa katika mkoa husika(kuna kuona onwa ili kulainisha mambo), kuna posho zinazo ambatana na hio nafasi tofauti na ma commissioners walio head office haswa ukute hana kitengo pale HQ....Atasona sana magazeti kusubiria mshahara
 
Hawa nao ni binadamu tu tulionao mitaani
Wanaweza fanya chochote kila kama wengine
Wapo wenye nidhamu na maadili ila mmoja mmoja anakuwa katereza

Kuna kupindi ulaya kinaitwa " To catch a Copper"
Hawana utani hawa jamaa, kama una kesi lazima uwajibike tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…