RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni ahamishiwa Kigoma katika mabadiliko ya kawaida ya Jeshi

RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni ahamishiwa Kigoma katika mabadiliko ya kawaida ya Jeshi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
IGP Sirro amefanya mabadiliko madogo kwenye safu ya makamanda wa mikoa

RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni amehamishiwa Kigoma na nafasi yake imechukuliwa na RPC wa.Lindi
Kadhalika aliyekuwa RCO wa Tanga anakwenda kuwa RPC wa Lindi

Source ITV habari
 
Mzee wa Pgo hapo furaha kama yote,Dar to kigoma ni mileage zaidi ya mamilioni ya kutosha analipwa hapo,
 
Back
Top Bottom