johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
IGP Sirro amefanya mabadiliko madogo kwenye safu ya makamanda wa mikoa
RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni amehamishiwa Kigoma na nafasi yake imechukuliwa na RPC wa.Lindi
Kadhalika aliyekuwa RCO wa Tanga anakwenda kuwa RPC wa Lindi
Source ITV habari
RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni amehamishiwa Kigoma na nafasi yake imechukuliwa na RPC wa.Lindi
Kadhalika aliyekuwa RCO wa Tanga anakwenda kuwa RPC wa Lindi
Source ITV habari