RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni ahamishiwa Kigoma katika mabadiliko ya kawaida ya Jeshi

Yaani kwa kuogopa ushindani tayari alisha pelekwa Kigoma!

IGP Sirro amefanya mabadiliko madogo kwenye safu ya makamanda wa mikoa

RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni amehamishiwa Kigoma na nafasi yake imechukuliwa na RPC wa.Lindi
Kadhalika aliyekuwa RCO wa Tanga anakwenda kuwa RPC wa Lindi
 
Wapi yule aliosema anatamani u igo
 
Hata msisumbuke , Move Iko calculated , na ilianzia huko Kwa Kingai.

Mama yeye ni mtekelezaji tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…