RPC Kilimanjaro Baa za Kisambo, Mwika kuna majambazi waliokubuhu

RPC Kilimanjaro Baa za Kisambo, Mwika kuna majambazi waliokubuhu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
RPC Kilimanjaro

Kuna genge la wahuni wakimiliki wa na wenye bar. Maeneo ya Kisambo Moshi mpaka Mwika

Wezi hawa hutumia pikipiki kuja na kulewa bar huku wakiangalia nani wa enjoy genge hili liko bar za Kisambo mipaka Mwika.

Inapofika saa tano wahuni hawa hutangaza hali ya hatari na hata wanaokutana nao wanaathirika kwa kuibiwa ama kujeruhiwa.

Tunashauri mamlaka husika karibu na maeneo ya Kisambo wakifika saa sita waanze kufuatilia bar zote pls ni hatari sana.

Maeneo haya huuza bangi usiku na mirungi na inavyosemekana hata baadhi ya shirikishi wakifika kuwakamata hupewa pesa kuwaachia waendelee na uhalifu wao.
 
Unatakiwa ukamatwe ukasaidie polisi jambo la ushahidi
 
Mkuu unaweza kuwa na content nzuri lakini namna ulivyowasilisha kidogo imekuwa mtihani !!!

Umeandika kama unakimbizwa!
 
Mkuu unaweza kuwa na content nzuri lakini namna ulivyowasilisha kidogo imekuwa mtihani !!!

Umeandika kama unakimbizwa!
Kama hujamuelewa mpwa kwa muandiko huu ambao ameandika akiwa ametulia kabisa basi hutomuelewa milele.

Halafu nikuume sikio tu, Pdidy ni masters holder, yani ana degree mbili.
 
Pdidy hukurudi shule kujifunza kuandika kama ulivyoshauriwa wa wajumbe humu jamvini?

Maana sioni mabadiliko kabisa.
 
Back
Top Bottom