RPC Kingai awaonya BAWACHA, Ahoji, unafanya mazoezi ukiwa umevaa fulana zilizoandikwa ''Tunataka Tume Huru ya Uchaguzi'?

RPC Kingai awaonya BAWACHA, Ahoji, unafanya mazoezi ukiwa umevaa fulana zilizoandikwa ''Tunataka Tume Huru ya Uchaguzi'?

Jeshi la polisi linapata shida sana kua dragged kwenye political issues

Yaani Kingai mpaka aharishe

Problem ni kwamba wanadamu ni kama panya huwezi deal nao aisee

Na mamlaka yako yanaishia kwenye kushika tu...kuwapa hukumu sio wewe,ni hakimu na oftenly anawaachia....yaani polisi anaonekana useless mno

Ningekua Kingai ningeacha kazi nikafanye biashara nipate faida
kushikwa pia ni hasara,ndio sababu kuna hatua nyingi sana kabla hujapora uhuru wa mtu kwa kumweka ndani.

lakini pia inawezekana ni biashara inayomlipa vyema ndio maana hajafikiria kuachana nayo.
 
Kwani ni fulana gan zinahitajika kufanyia mazoezi?? Mbona hata CCM kanga wanazopewa wanavaa Vicoba?
Tena huwa wanafanya mazoezi na mabango yaliyoandikwa kuwa 'Machotara hii Nchi ni ya Waafrika".
 
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.

Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’

“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.

Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.

“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.

Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.

Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Kwani wao polisi wanasemaje kuhusu katiba iliopo faida nahasara kwa upande wao kama polisi. na kama tutapata katiba mpya faida kwao ni IPI nahasara kwao ni ipi watoe Mawazo yao
 
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.

Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’

“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.

Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.

“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.

Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.

Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Na jogging za wanaccm wanazofanya huko mitaani je mbona polisi hawazivamii? Kweli hii ni polisiccm.
 
Kwa ni
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.

Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’

“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.

Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.

“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.

Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.

Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Kwa nini wasivae fulana zenye maandishi MAZOEZI NI KWA AFYA YAKO waone kama kuna mtu atawafata kutwa nzima kama lengo ni afya?
 
Na hapa aje abane kipua chake kilichobonyea kama ganda la ndimu. Pumbavu kabisa
20210920_165112.jpg
 
Kwani t-shirt ya katiba ni dhambi kwa sheria ipi! Mbona watu wanafanya marathoni kwa tshirts za bia!
 
Wakili msomi: Kwani kuna kosa lolote kisheria mtu kuvaa fulana zenye maandishi 'Tunataka katiba mpya' ?

Kamanda Kingai: Sijui, lakini nahisi yanahatarisha amani.

Wakili Msomi:Kama kila nchi na kila taasisi ina katiba yake, sasa unadhani maneno "tunataka katiba mpya" yanalenga nchi ipi au taasisi ipi?

Kamanda Kingai: Sijui, lakini tunahisi yatakuwa yanailenga Tanzania.

Wakili Msomi: Unajua katiba ni mali ya wananchi hivyo wana haki ya kuidai

Kamanda Kingai: Ndio ni mali ya wananchi lakini Rais amekataza watu kuidai.

Wakili Msomi: Kati ya kauli ya Rais na Katiba ya Tanzania kipi kinapaswa kufuatwa kwanza?

Kamanda Kingai: kimyaa.....

Jaji: Kamanda Kingai tafadhali jibu swali

Kamanda Kingai: Mheshimiwa jaji ninajisikia vibaya, nina homa, tumbo la kuharisha na toka jana niko kwenye dawa za malaria!
 
Shida ya Kingai ni kuwa haijui PGO yao !!!

Nashari wamaotaka katiba mpya wavae kijani na kuandika “tunataka katiba mpya”” tuone itakuwaje!!!
 
Hawa kinamama wajanja sana. Kumbe walikuwa wanafanya jogging wakiwa na mabango vifuani😂😂
 
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.

Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’

“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.

Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.

“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.

Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.

Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Tz ina watu wa ajabu Sana , Yani mtu kufanya MAZOEZI unampangia na nguo ya kuvaa,
 
Tz ina watu wa ajabu Sana , Yani mtu kufanya MAZOEZI unampangia na nguo ya kuvaa,
Umesahau na wale waumini waliotolewa kwenye nyumba ya ibada kwa sababu ya kuvaa sare au nguo zinazofanana na sare za chama kile kingine.Safari yetu bado ndeeefu saana
 
Back
Top Bottom