kushikwa pia ni hasara,ndio sababu kuna hatua nyingi sana kabla hujapora uhuru wa mtu kwa kumweka ndani.Jeshi la polisi linapata shida sana kua dragged kwenye political issues
Yaani Kingai mpaka aharishe
Problem ni kwamba wanadamu ni kama panya huwezi deal nao aisee
Na mamlaka yako yanaishia kwenye kushika tu...kuwapa hukumu sio wewe,ni hakimu na oftenly anawaachia....yaani polisi anaonekana useless mno
Ningekua Kingai ningeacha kazi nikafanye biashara nipate faida
Freedom of speechKesho utaona t-shirt za jogging club flani zimepandikwa "HATUMTAKI RAIS 🧝"
Huyu kada wa ccm ukimtajia tu kibatara lzm awewesekeKwani kuvaa Tsheti iliiyoandikwa unataka katiba mpya ni kosa kisheria?
Sawa Kingai ila kumbuka kesho ni siku ya kuendelea na ushahidi pale mahakamani. 😀
Tena huwa wanafanya mazoezi na mabango yaliyoandikwa kuwa 'Machotara hii Nchi ni ya Waafrika".Kwani ni fulana gan zinahitajika kufanyia mazoezi?? Mbona hata CCM kanga wanazopewa wanavaa Vicoba?
Kwani wao polisi wanasemaje kuhusu katiba iliopo faida nahasara kwa upande wao kama polisi. na kama tutapata katiba mpya faida kwao ni IPI nahasara kwao ni ipi watoe Mawazo yaoDar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.
Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’
“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.
Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.
“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.
Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.
Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.
Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Huyo pilsi hamnazo kichwani mwakeKwani ni fulana gan zinahitajika kufanyia mazoezi?? Mbona hata CCM kanga wanazopewa wanavaa Vicoba?
Polisipilsi
Jogging ya kimkakati! Kutoka wapi kwenda wapi? ama kweli polisi wana vituko!Anadhani atakuwa RPC hadi kaburini.
Maisha tunapita tenda haki.
Na jogging za wanaccm wanazofanya huko mitaani je mbona polisi hawazivamii? Kweli hii ni polisiccm.Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.
Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’
“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.
Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.
“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.
Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.
Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.
Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Kwa nini wasivae fulana zenye maandishi MAZOEZI NI KWA AFYA YAKO waone kama kuna mtu atawafata kutwa nzima kama lengo ni afya?Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.
Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’
“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.
Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.
“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.
Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.
Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.
Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Alafu hapa duniani jambo gani linalifanyika bila mkakati??Jogging ya kimkakati! Kutoka wapi kwenda wapi? ama kweli polisi wana vituko!
Tz ina watu wa ajabu Sana , Yani mtu kufanya MAZOEZI unampangia na nguo ya kuvaa,Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.
Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’
“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.
Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.
“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.
Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.
Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.
Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Umesahau na wale waumini waliotolewa kwenye nyumba ya ibada kwa sababu ya kuvaa sare au nguo zinazofanana na sare za chama kile kingine.Safari yetu bado ndeeefu saanaTz ina watu wa ajabu Sana , Yani mtu kufanya MAZOEZI unampangia na nguo ya kuvaa,