DOKEZO RPC Mara, OCD Bunda chunguzeni mienendo ya Askari hawa, wanachafua sifa ya Jeshi la Polisi

DOKEZO RPC Mara, OCD Bunda chunguzeni mienendo ya Askari hawa, wanachafua sifa ya Jeshi la Polisi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Yakki Kadaf

Member
Joined
Jan 8, 2023
Posts
29
Reaction score
107
Kwanza nianze kwa dhati kuwapongeza RPC Mara, OCD, OCS na OCs Bunda kwa kazi nzuri ambapo ushirikiano wao umeufanya mkoa wa Mara kuwa eneo tulivu na salama. Bunda kwa sasa ni eneo ambalo watu wanaweza kutembea usiku mnene pasipo hofu.

Pongezi pia kwa maafande Amos-kitengo cha cyber, Afande Paschal-upelelezi, Afande Koja ambao ni miongoni mwa maaskari waadilifu wasiotanguliza rushwa kazini na wanasikiliza.

Tatizo lipo kwa askari mmoja aitwae Eli Eli, huyu bwana anamtumia mgambo mmoja aitwae Samwel kwa maslahi binafsi. Huyu mgambo yeye akikamata raia hasa jobless ni bargaining tu vinginevyo atavalishwa pingu tu na kufikishwa kituoni ambapo mchongo wote husimamiwa na Eli Eli.

Kiufupi huyu askari ni money oriented na anachafua sifa ya jeshi. Yaani hata mtuhumiwa akiachiwa kwa dhamana kutoka kituoni ataendelea kumzungukia mtaani kwa kila aina ya vitisho huku akimuomba pesa.

Kwenye hii chain yupo pia askari mmoja wa kiume anayeitwa Zawadi.

Please RPC Mara, OCD Bunda haya siyo majungu fanyeni uchunguzi kuhusu hawa watu mtabaini ukweli wote.
 
Yaani hata mtuhumiwa akiachiwa kwa dhamana kutoka kituoni ataendelea kumzungukia mtaani kwa kila aina ya vitisho huku akimuomba pesa.Kwenye hii chain yupo pia askari mmoja wa kiume anayeitwa Zawadi.
Ebwana eeh
Tatizo lipo kwa askari mmoja aitwae eli eli huyu bwana anamtumia mgambo mmoja aitwae Samwel kwa maslahi binafsi.Huyu mgambo yeye akikamata ni bargaining tu vinginevyo atavalishwa pingu tu na kufikishwa kituoni ambapo mchongo wote husimamiwa na eli eli.
Umesema kwamba?
Please RPC MARA, OCD BUNDA haya siyo majungu fanyeni uchunguzi kuhusu hawa watu mtabaini ukweli wote.
Sawa uchunguzi utakua umeanza Mara moja, na ukibainika basi hatua za kinidhamu zitachukuliwa

Ila ingefaa ungekamirisha majina

Eli Eli nani?
Samweli nani?
Zawadi nani?

Maana watu wanafanana majina kamanda.

Ova
 
Back
Top Bottom