RPC Muroto: Tulizuia Mkutano wa Mbowe ili kumlinda na maambukizi ya COVID-19

RPC Muroto: Tulizuia Mkutano wa Mbowe ili kumlinda na maambukizi ya COVID-19

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.

Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe

2375764_Mbowe.jpg
 
Asanti RPC kwa kumlinda Mbowe na Covid19 inaonekana ulipata taarifa ya kiintelejensia kwamba kwenye mkutano kutakuwa na mtu mwenye covid19 ataenda kumuambukiza mbowe.
 
Hawa polisi NASIKIA KINYAAAAAAAAAA............
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.

Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe

Kama kujenga makao makuu ya Chadema Dodoma akasemee Bungeni! Halafu yangu lini mkawa na urafiki wa kumlinda Mbowe?
 
Tuna kushukuru Kamanda Muroto kwa kuwaza / kutenda kwa kutumia Nguvu na sio Akili ,Watanzania sio Wajinga tuna kuona.
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.

Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe

Mbona hawazuia ibada potofu za wachungaji hewa maombi hewa
Mmeona mmeumbuka kwenye social media ndio mnakuja na hadithi za abunuwasi

* Kwenu Chadema tafuteni mbinu nyingine za kufikisha ujumbe kwa wananchi kuna Radio Mbao Radio za kweli si mko na TV online rusheni matamko yenu kwa mtindo otherwise hamtafikia malengo
Tumieni TV Radio Social Media kufikisha ujumbe mbona Lema anafanya?!
 
Back
Top Bottom