Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Ni jambo jema.
Mbowe ni kiongozi wa kitaifa lazima alindwe!
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.
Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe
Kwanini hamkuzuia na ule wa jana Chato, au yule wa Chato hamumpendi mkamuacha ateketee!.
Mnamlinda mtu aliyeonekana kachukua tahadhari zote, halafu mnamuacha yule ambaye hakuchukua tahadhari yoyote!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hajaenda kuzuia vikao vya BungeKamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.
Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe
Kama kujenga makao makuu ya Chadema Dodoma akasemee Bungeni! Halafu yangu lini mkawa na urafiki wa kumlinda Mbowe?Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.
Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe
Ama CCM kweli mmetuweza. Msirudie kosa hilo tena!Kama kujenga makao makuu ya Chadema Dodoma akasemee Bungeni! Halafu yangu lini mkawa na urafiki wa kumlinda Mbowe?
Dah! Ila we jamaa bhana una dhihaka Sana!Ni jambo jema.
Mbowe ni kiongozi wa kitaifa lazima alindwe!
Haya ya polisi ni maajabu ya dunia. Tutasikia na kuona mengi mbele ya corona.
Mbona hawazuia ibada potofu za wachungaji hewa maombi hewaKamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa jana walizuia mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa lengo la kumlinda yeye pamoja na waandishi, kutopata maambukizi ya COVID-19 na kwamba kama alikuwa na jambo basi angeenda kulisemea Bungeni.
Pia soma > Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe