johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuhusu Barua inayodaiwa kuandikwa na binti aliyelawitiwa, RPC Mutafungwa amesema barua hiyo haijawafikia na kwamba mtu Binafsi hawezi kufuta kesi ya jinai kwa sababu mshtaki ni Jamhuri
Jumaa Mubarak 😀
=====
Mwandishi: Mtuhumiwa alikuwa amehiari kwa hiari yake kuachana na kesi hii
Jeshi la Polisi: Na sisi Jeshi la Polisi tumeona hako kataarifa kanakotembea huko kwenye mitandao ya kijamii.
Pia soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
Jumaa Mubarak 😀
=====
Mwandishi: Mtuhumiwa alikuwa amehiari kwa hiari yake kuachana na kesi hii
Jeshi la Polisi: Na sisi Jeshi la Polisi tumeona hako kataarifa kanakotembea huko kwenye mitandao ya kijamii.
Pia soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
Tusubiri kama DPP ataifuta