RPC Shinyanga anafanya kazi kwa weledi

RPC Shinyanga anafanya kazi kwa weledi

Somi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
3,921
Reaction score
4,858
Leo nimeona taarifa ya Habari Itv afande ameyakamata na kuyapiga faini mabasi yote yanayotoka Mwanza kwenda Dar kwa kuzidisha Mwendo , vilevile amewakamata madereva 4 na kuwapeleka mahakamani kujibu mashitaka ya kuzidisha Mwendo kupindukia.

Vilevile amewapa abiria elimu ya usalama barabarani na kujua haki zao za msingi .

Huenda akipewa jukumu la kusimamia usalama barabarani mikoa yote tatizo sugu la ajali litamalizika.
 

UUPCOMING IGP Wankyo Ramadhan Nyigesa

Muda Umefika, Huyu Mwamba Kafichwa Wapi
haa
 
Unampigia chapuo sio?
Hapana , mimi ni Mdau mkubwa wa Hii njia kwa usafiri , kwa jinsi nilivyoona akifanya kazi yake nimekubali uwezo wake ni mkubwa
 
huyo kamanda anayetuchelewesha kufika jijini Dsm hafai. Na hapo anatengeneza gepu la kuletewa chochote kwenye bahasha ya khaki.


Jesus is Lord
 
Jamiiforum watu walivo wajinga jinga watakuja kumkandia kamanda hapa

Afu zikitokea ajali zikaua watu, wajinga haohao wa jamiiforum watakuja kusema vyombo vyetu vya usalama havifanyi kazi,
 
Jamiiforum watu walivo wajinga jinga watakuja kumkandia kamanda hapa

Afu zikitokea ajali zikaua watu, wajinga haohao wa jamiiforum watakuja kusema vyombo vyetu vya usalama havifanyi kazi,

Lini ajali ziliwai kuisha
 
Lini ajali ziliwai kuisha
Haya
Screenshot_20220610-100634.jpg
 
Leo nimeona taarifa ya Habari Itv afande ameyakamata na kuyapiga faini mabasi yote yanayotoka Mwanza kwenda Dar kwa kuzidisha Mwendo , vilevile amewakamata madereva 4 na kuwapeleka mahakamani kujibu mashitaka ya kuzidisha Mwendo kupindukia.

Vilevile amewapa abiria elimu ya usalama barabarani na kujua haki zao za msingi .

Huenda akipewa jukumu la kusimamia usalama barabarani mikoa yote tatizo sugu la ajali litamalizika.
Hakukuwa na haja ya kumpelekea macamera
 
Ajali ni matokeo ya mwendokasi kwa kiasi kikubwa,hongera kamanda na kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom