Hapana , mimi ni Mdau mkubwa wa Hii njia kwa usafiri , kwa jinsi nilivyoona akifanya kazi yake nimekubali uwezo wake ni mkubwaUnampigia chapuo sio?
Jamiiforum watu walivo wajinga jinga watakuja kumkandia kamanda hapa
Afu zikitokea ajali zikaua watu, wajinga haohao wa jamiiforum watakuja kusema vyombo vyetu vya usalama havifanyi kazi,
Jesus atatuwahisha siku nyenginehuyo kamanda anayetuchelewesha kufika jijini Dsm hafai. Na hapo anatengeneza gepu la kuletewa chochote kwenye bahasha ya khaki.
Jesus is Lord
...abilia!!!!!!!Sema atafanikiwa kuwezesha Mabasi kuchlelewesha abilia.
Nitahariri baadae mkuu...abilia!!!!!!!
HayaLini ajali ziliwai kuisha
Hakukuwa na haja ya kumpelekea macameraLeo nimeona taarifa ya Habari Itv afande ameyakamata na kuyapiga faini mabasi yote yanayotoka Mwanza kwenda Dar kwa kuzidisha Mwendo , vilevile amewakamata madereva 4 na kuwapeleka mahakamani kujibu mashitaka ya kuzidisha Mwendo kupindukia.
Vilevile amewapa abiria elimu ya usalama barabarani na kujua haki zao za msingi .
Huenda akipewa jukumu la kusimamia usalama barabarani mikoa yote tatizo sugu la ajali litamalizika.
Mpaka tupate mkuu wa majeshi mpya tutasikia machacheMpaka tupate CDF mpya tutasikia mengi
Mnawahi Dsm kufanya nini cha maana.huyo kamanda anayetuchelewesha kufika jijini Dsm hafai. Na hapo anatengeneza gepu la kuletewa chochote kwenye bahasha ya khaki.
Jesus is Lord
Bora yachelewe ila abiria wafike salamaSema atafanikiwa kuwezesha Mabasi kuchlelewesha abilia.
Tunawahi Dsm kuhubiri Injili ya Bwana Yesu, watu waokoke wapate uzima wa milele. Maana lile jiji linaongoza kwa uovu Tz.Mnawahi Dsm kufanya nini cha maana.