RPC wa Dar es Salaam Muliro una Taarifa kuwa Mauwaji ya Kikatili kwa Madereva Bodaboda yamerejea tena?

RPC wa Dar es Salaam Muliro una Taarifa kuwa Mauwaji ya Kikatili kwa Madereva Bodaboda yamerejea tena?

Tunashkuru kwa Tahadhari ila it wasn’t necessary kuelezea unavozini na wake za watu kwenye issue sensitive namna hii. people might not take it seriously.
He!.Kumbe kuna watu wanamchukuliaga serious huyu bushman?
 
Nitazingatia ushauri wako mkuu
Naendelea Kukuuliza je, zile Mimba zako za Mitoto Mipopoma tupu uliyonayo ulizipata kwa Kufanywa au kwa Kujifanya?

Nasubiri jibu.
 
He!.Kumbe kuna watu wanamchukuliaga serious huyu bushman?
Naendelea Kukuuliza je, zile Mimba zako za Mitoto Mipopoma tupu uliyonayo ulizipata kwa Kufanywa au kwa Kujifanya?

Nasubiri jibu.
 
Si mlisema bodaboda wana Hela kuliko walimu na watumishi wengine wa umma!
Kila penye pesa pana changamoto.
Hii kazi ya bodaboda imeua ndoto za vijana wengi wa Kitanzania.
Ni kazi kama ulevi fulani, ukiingia umeingia mpaka unazeeka. Ukidevelope sana utabadilika kuwa tax driver au bajaji driver
 
Back
Top Bottom