DOKEZO RPC wa Dodoma msaidie huyu Katibu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste, atauawa!

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Hapo nimeshindwa kabisa ku connect dot ngoja waje wengine kwa ushauri zaidi
 
Aise! Sasa hata kama analipa pesa ya hiyo hapewi stakabidhi ya malipo? hata kupewa contol no.ya kulipa hakuna?
Maana fedha inayolipwa kwa kosa la utakatushaji ni mali ya serikali haiwezi kulipwa kwa njia nyingine!
 
Kama amefikia hatua hiyo ya kutapeliwa haipo haja ya kusaidiwa..duuuh!....
 
huyo katibu ni fala
 
duuh mchungaji hana ndg angewahusisha
 
Kuna kitu (vitu) kina-miss kwenye hii stori!
 
Rpc yupi wa kumsaidia??
 
Ah,,,huyo mchungaji hakustuka kufanya dili ya MSHOMILE,tena RWEYEMAU!!!!...hiyo ndio fani ya kina NSHOMILE tangu wakati wa ukoloni,,,,,,marehemu mwalimu JULIAS NYERERE nasikia nae alishatapeliwa na NSHOMILE mmoja mmoja zama hizo akiitwa BARONGO,,,naskia mzee BARONGO alichukuliwa na nyerer mpaka site flani [sijui ilikuwa project ya serikali aua ya mwalimu binafsi!!! barongo alikuwa engineer,,,,,,sasa walipofika site mwalimu akawa akimzungusha barongo maeneo ya site na kumwonyesha vifaa vya ujenzi,,,baada ya hapo wakatwanyika,baadae MTAALAM BARONGO alirudi na malori mawili aina ya BEDFORD,,,na kumwambia mlinzi amekuja kutwkwleza jukumu la kubebea vifaa vya ujenzi [cement na tofali kama alivoelekezwa na mwalim] so kwa vile mlinzi alwashuhudia kweli wakizunguka pale na kuingia mpaka stoo,,,basi akamwachia MTAALAM BARONGO akabeba tofali,cement na nodo,,,, naskia mwalimu alipopata taarifa ilibidi acheke na kumwamrisha BARONGO arudishe,,,,,,,,"nasisitiza,sina uakika nastori hii]
 
Nahili tutalifanyia kazi,je unaushaidi?
 
Hata mtoto wangu wa darasa LA nne, hawezi kutapeliwa kis..... Nge kiasi hicho,
Yaani mtu akupigie cm au ajitambulishe tu kuwa ni Fulani na wewe utoe pesa,!?
 
🤣🤣🤣
 
Huyo mchungaji
Huyo mchungaji ni fala kabisa,Kuna Dhambi alitenda inamwandama mwache afe na upumbavu wake,kwanza angestuka mapema mno kuwa anatapeliwa alipoambiwa kuwa "Rais Samia kasema ulipe mil 200 ili kesi iishe", hiyo ni kauli ya kitapeli kabisa,kwanza hilo Tapeli limemchafua sana Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…