RPC wa Mbeya apongezwe kwa kusimamia vema maandamano ya Chadema na ziara ya Biteko

RPC wa Mbeya apongezwe kwa kusimamia vema maandamano ya Chadema na ziara ya Biteko

lisu anacho kitaka ni mauwaji ya kujitoa mhanga kwa wananchi walala hoi

muhimu watanzania wenye akili wameliona hilo
Lissu anahusika nini na kupanga ratiba za viongozi? Kama polisi waliruhusu maandamano kupita barabara hiyo ulitaka afanye nini?

Ukiwa chawa usiwe juha!
 
Back
Top Bottom