[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili kundi timu zote nne zina matatizo yanayolingana, wote wamekuwa na tatizo kwenye upande wa ulinzi hivyo kufanya kila timu iweze kufungika. Hakuna timu ambayo insonekana imekamilika kila idara. Ila Simba wamekuwa ns advantage moja na ndiyo inayowabeba mpaka sasa. Advantage yenyewe ni kuwa na golikipa imara. Manura kasahisha makosa mengi sana ya safu yake ya ulinzi. mechi dhidi ya USGN Simba walikuwa wanafungwa goli zaidi ya mbili ila Manura kafanya save nyingi sana na jana pia. Ila timu zilizobakia wabovu kwanzia kipa mpaka walinzi wao.
We bro tafadhali sana hayo mambo ndio tulikua tunapigwa goli tano hayo huko tushatoka kabisa leo hii tuna draw Ugenini timu inamajeruhi kibao na inapigwa mbili na Berkane unalalamika kweli?Nakubaliana na wewe ..ktk knockout stage tukiingia na mentality hii ya kwa mkapa hatoki mtu basi ni lazima tung'oke tu hakutakuwa na namna kama ambavyo tulitolewa na jwaneng galaxy au kaizer chiefs. Piga boli nyumbani na ugenini ikitokea unefungwa hakuna cha kujilaumu cuz mpira umepiga wa kutosha zinabaki tu kudra za Mungu.
Hii mechi simba hatufungwi hata tukicheza na watoto wa waganga
Siyo mimi nimesema.Leo tunaenda kufanya kitu ambacho jamhuri ya kidemokrasia ya mpira itashangaa