Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
Tanzania kila mara utasikia ajali zimetokea watu wamekufa , ama dereva kaacha njia kisa speed ama mtu kasababisha na wengi wao wakiwa hawana sifa za kuendesha magari .Leo hii nimeshangazwa sana sana kuona mtoto wa miaka 14 aliyeko form 2 anaendesha gari na akiwa na leseni sijui kapata wapi .Mtoto Abdallah Malima , ambaye Baba yake ni Boss wa Pride Tanzania analitumia gari hilo mjini Arusha kwenda shule na kurudi na hata kukata mbuga hadi mikoa ya jirani .Tatizo langu mie Lunyungu si mtoto wa shule kuendesha gari ila Umri wa mtoto huyu na kupewa leseni ya kuendesha gari .Wajuvi naomba kujua kama sheria ya Tanzania sasa ilisha badilishwa hadi mtoto wa miaka 14 kupewa leseni .
Nawasilisha .
Nawasilisha .