Ulianza kama utani, sasa ni "rasmi" daladala zinazopitia Stend ya zamani zinafaulisha watu hapo stend. Notably ni za Raskazoni -Mwahako-Mchukuuni.
Haziendi kabisa Raskazoni, zinaishia stend na kutesa watu maana inabidi ulipe nauli mara mbili au wakikufaulisha ni kuwasukumiza kwenye magari yaliyojaa.
Mfano za Mwahako completely haziendi Raskazponi/ Bombo na hivyo watu walio Bombo/ Raskazoni wanaokwenda Mwahako/ Mchukuuni wanalipa nauli mara mbili. Anapanda zingine anakuja stend , then anapata za Mwahako.
Tusaidie kukomesha uhalifu huu.
Haziendi kabisa Raskazoni, zinaishia stend na kutesa watu maana inabidi ulipe nauli mara mbili au wakikufaulisha ni kuwasukumiza kwenye magari yaliyojaa.
Mfano za Mwahako completely haziendi Raskazponi/ Bombo na hivyo watu walio Bombo/ Raskazoni wanaokwenda Mwahako/ Mchukuuni wanalipa nauli mara mbili. Anapanda zingine anakuja stend , then anapata za Mwahako.
Tusaidie kukomesha uhalifu huu.