RTO Tanga liangalie hili la Daladala kufaulisha watu Stendi ya zamani

RTO Tanga liangalie hili la Daladala kufaulisha watu Stendi ya zamani

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Ulianza kama utani, sasa ni "rasmi" daladala zinazopitia Stend ya zamani zinafaulisha watu hapo stend. Notably ni za Raskazoni -Mwahako-Mchukuuni.

Haziendi kabisa Raskazoni, zinaishia stend na kutesa watu maana inabidi ulipe nauli mara mbili au wakikufaulisha ni kuwasukumiza kwenye magari yaliyojaa.

Mfano za Mwahako completely haziendi Raskazponi/ Bombo na hivyo watu walio Bombo/ Raskazoni wanaokwenda Mwahako/ Mchukuuni wanalipa nauli mara mbili. Anapanda zingine anakuja stend , then anapata za Mwahako.

Tusaidie kukomesha uhalifu huu.
 
Back
Top Bottom