Ruaha University College, (RUCO) waanza kutoa PhD ya sheria 2011/2012

Ruaha University College, (RUCO) waanza kutoa PhD ya sheria 2011/2012

kabila01

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2009
Posts
4,235
Reaction score
4,964
Kuna tetesi nimezipata jana hapa mkoani Iringa kutoka kwa wadau wa jirani kabisa wa chuo kikuu cha Ruaha kilichopo mkoani Iringa ambacho ni branch ya SAUT. Inasemekana kua katika mwaka ujao wa masomo 2011/2012 wanaanzisha Phd ya Sheria. Hapo wadau tunaonaje.
Nakaribisha michango yenu
 
Chuo bado ni kidogo mno.Watu wa PHD kitawaweka wapi na hali mpaka sasa almost ni overpopulated. Waache kuchakachua mambo! Wakimudu population iliyopo ndipo wafikilie kutoa PHD
 
Hizo sio tetesi bali ni habari za kweli. Na wamekwishaanza tangu mwaka jana I think this is the second round. It was made public through adverts and their website. Hii inaenda sambamba na SAUT main cumpus where the same PhD programme is offered. SAUT is also the only University offering PhD in Mass Communication there at DSM campus. I believe they have undergone all necessary scrutiny from the appropriate authorities like TCU and approval has been granted for them to do so.
 
Back
Top Bottom