Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Vijana wa Sasa wanawaza kubet na kuiba.View attachment 2076364
Rubani wa Ndege iliyotekwa mwaka 1982 na vijana waliokuwa wakishinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu, amefariki dunia.
Capt Deo Mazula alifariki tarehe 6 Januari 2022 na Kesho (Januari 11, 2022) anatarajiwa kuzikiwa jijini Arusha katika Makaburi ya Njiro.
Unaweza kusoma kuhusu kisa cha kutekwa kwa ndege hii, hapa Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?
Ni familia iliyokua inajiweza baba yao alikua na uwezo ndio mana watoto wake walipata elimu bora,pia kulikua na mdogo wao captain wa meli ya mv victoriaHii Family ya kina Mazula ilikuwa na Rubani mwingine akiitwa George Mazula baba yake Walter Mazula aliyeuwawa kinyama huko USa 2006. Nilikuwepo kwenye Msiba wa Walter na Mchumba wake Vonetha Nkya. Captain George Mazula alisoma Risala Bora kabisa na Mwanae Brian. Daah 2008 nikasikia Captain George Mazula alifariki, kumbe alikuwepo nduguye naye ni Rubani wa Ndege. Miaka hiyo ya 80+ na 90+ ukisikia Rubani unamheshimu na George Mazula tulimfahamu na kumpenda he was down to earth Mpenda Watu pamoja na umaarufu wa kuwa Rubani wa ATC. RIP Mazula George, Walter na Deo.
Kwahiyo wale abiria mateka waliruhusiwa kuingia mitaani London baada ya kuwasili Stanstead Airport hadi waonane na bii kizee na mbwa wake? Kuna ukweli wowote hapa?
Kumbuka hata vichaa/wehu hua nao wanazeeka.Na mimi nilishagundua hilo, unaweza kuwa unatukana kisela-sela-jinga kumbe unamtukana baba/mama/ babu/nyanya yako.
Bora tu kuwa na adabu na lugha hadhimu ya staha!
Paschal kumbe unawajua vizuri ni kweli walikuwa wanapenda gari aina ya Volvo hasa George MazulaWalikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Hapana Deo ni mkubwa na ndiye first born wa mzee Arobogast Mazula Edward Kalendero.Alikuwepo George Mazula. Kama sikukosea George ni mkubwa kwa Deo. George alimaliza form four (1967, Mara SS) na kujiunga na mafunzo ya kuendesha ndege, kule Uganda, Soroti Flying School.
Ulitaka wakavunje gereza wamtoe au wamuue DPP?Baba yao anasota magereza wao wanapigana kumkomboa kupitia keypads za cm na computer. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yah, TOT kwa sasa anaishi UingerezaKuna dada mmoha ni mtoto wzo aliitwa Mage Mazula alikuwa mwimbaji wa bendi moja siikumbuki miaka ya 1994.
Kama sikosei ni Tanzanite band.
Bado nauliza mkongwe,kuna huyu Captain wa Atc matata sana mtu wa kinywaji sana mfupi hivi, mwaka ule baba wa taifa katutoka ye alisema ndio kamtoa London.Walikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Miaka 30 ijayo watasema kulikuwa na mazee yanaitwa Greatest of all yalikuwa vichwa sana!! duuuSiku hizi kuna wapuuzi wanaitwa yuvisisiemu
Kaburi la Baba yake lipo pembeni ya hayo mawili ya mtoto wa kiume na mchumba wake.Kaburi hilo lina Miili miwili ya wapenzi,ambao waliuawa kwa kuchomwa moto huko Marekani... Kati yao Kijana wa Kiume ni Mtoto wa Marhum Capt. Geoge Mazulla aka KOROBOY
Lorrd Rajpar alikuwa nalo benzi fulani jeupe, namkumbuka akipenda kukatiza nalo kule ocean road baharini ule mtaa unaopita nyuma ya Ikulu kutokea Aga Khan, mzee unaongelea kabla ya 1984 Dar ile ya kwenda disco pale sea view na usiku sana watu wanarudi wanatembea hakuna bajaji wala bodaboda.Enzi hizo Waswahili wenye Benzi wanahesabika!. Mimi nawakumbuka Benzi ya Mzee Lupembe, Benzi ya Obed Katikaza, Benzi ya Dr. Mtawali. Benzi ya Dr. fulani Changombe. Tajiri mmoja akiitwa Mgaya yeye ndio alikuwa ana Range!.
P
Miaka yake ya mwisho akiwa hai alikuwa akishinda pale maeneo ya Pegeout karibu na ilipokuwa bushtrekker. Alikuwa mtu poa sana, akiniona lazima anisalimie.Hii Family ya kina Mazula ilikuwa na Rubani mwingine akiitwa George Mazula baba yake Walter Mazula aliyeuwawa kinyama huko USa 2006. Nilikuwepo kwenye Msiba wa Walter na Mchumba wake Vonetha Nkya. Captain George Mazula alisoma Risala Bora kabisa na Mwanae Brian. Daah 2008 nikasikia Captain George Mazula alifariki, kumbe alikuwepo nduguye naye ni Rubani wa Ndege. Miaka hiyo ya 80+ na 90+ ukisikia Rubani unamheshimu na George Mazula tulimfahamu na kumpenda he was down to earth Mpenda Watu pamoja na umaarufu wa kuwa Rubani wa ATC. RIP Mazula George, Walter na Deo.
Usinikumbushe mwanangu Walter mazula....dahKaburi hilo lina Miili miwili ya wapenzi,ambao waliuawa kwa kuchomwa moto huko Marekani... Kati yao Kijana wa Kiume ni Mtoto wa Marhum Capt. Geoge Mazulla aka KOROBOY
Gymkhana wazee ngoma ngumu paleMiaka yake ya mwisho akiwa hai alikuwa akishinda pale maeneo ya Pegeout karibu na ilipokuwa bushtrekker. Alikuwa mtu poa sana, akiniona lazima anisalimie.
Walikuwa members wa Gymkhana Club miaka ile, ndio wajanja wa mjini enzi za Nyerere anaondoka anaingia Mwinyi,
Alikuwepo mtu mmoja akifanya kazi habari Maelezo akiitwa Abdallah Ngororo, kila nikifuata bia za wazee Chinese au IFM usiku ninamkuta anapata kinywaji akiwa na hayati Jaji Mapigano, Profesa Shaba na wazee wengine wa mitaa ile.
Tutafute pesa. Hakunaga Elimu bure "Free education"Ni familia iliyokua inajiweza baba yao alikua na uwezo ndio mana watoto wake walipata elimu bora,pia kulikua na mdogo wao captain wa meli ya mv victoria
KOROBOY..shybush EGM?Kaburi hilo lina Miili miwili ya wapenzi,ambao waliuawa kwa kuchomwa moto huko Marekani... Kati yao Kijana wa Kiume ni Mtoto wa Marhum Capt. Geoge Mazulla aka KOROBOY