Rubani wa pili wa Kenya Airways afariki kwa COVID-19

Rubani wa pili wa Kenya Airways afariki kwa COVID-19

Marehemu ni Kaka Yangu na Kaka zangu Wengine waliokwenda London kumzika Leo wamegunduwa vitu vingi saaana ikiwemo baadhi ya Abiria kufoji Madical Report Kama wameshapimwa COVID 19 Marehemu Nilipoongea nae aliondoka Nairobi akiwa mzima hata Screen test alifanyiwa yeye na cabin crew wake wote Kabla ya ku board.
Isitoshe ndio ilikuwa birthday yake walimzawadia Cake Asubuhi ya Jumamosi alipofika London Heathrow Ndio shida ikaongezeka akapelekwa hospital kwa ambulance alipopimwa akagundulika ameshaathirika vibaya na Covid 19 View attachment 1641191View attachment 1641192
ina maana test za Kenya zina walakini, how comes unafanya test unapata negative results then in the next 24 hours unakufa kwa covid19?
 
Marehemu ni Kaka Yangu na Kaka zangu Wengine waliokwenda London kumzika Leo wamegunduwa vitu vingi saaana ikiwemo baadhi ya Abiria kufoji Madical Report Kama wameshapimwa COVID 19 Marehemu Nilipoongea nae aliondoka Nairobi akiwa mzima hata Screen test alifanyiwa yeye na cabin crew wake wote Kabla ya ku board.
Isitoshe ndio ilikuwa birthday yake walimzawadia Cake Asubuhi ya Jumamosi alipofika London Heathrow Ndio shida ikaongezeka akapelekwa hospital kwa ambulance alipopimwa akagundulika ameshaathirika vibaya na Covid 19 View attachment 1641191View attachment 1641192
Hili limekaaje mku, mtu kuambukizwa akiwa ndani ya ndege na kufariki siku hiyohiyo, mbona hata kipindi cha kuanza dalili ambacho ni siku 3 hakijafika?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hapana Alifariki Siku nne baadae
IMG-20201204-WA0049.jpg
 
Duu Mungu tunusuru. Aghakan kwetu na Muhimbili na kwingineko hatutaki kusema. Ni bora kuwa wakweli ili watu wachukue tahadhari. Nafikiri nitaanza kuvaa mask tena kila niendapo kwenye mikusanyiko.
Ingekuwa vyema ukatueleza ili nasi tujue
 
Naomba muelewe huu ugonjwa wa corona au hivi virusi vyake vina different phace Unaweza kupata hiyo Covid 19 usijiwe na ikaisha usijuwe Unaweza kupata na ukasuffer na ukapona nina bahati mbaya nimepooteza ndugu wanne kwa Maradhi haya.
Nimeweza kupata experience ya kutosha na wala haitegemei immune system ya mwili wako ita respond vipi amini usiamini kuna other phace yani huchukuwi muda unakwenda .
Captain aliondoka Nairobi Akiwa mzima wa afya hata aliposcreeniwa JKIA Hakuwa na Dalili zozote Alipofika Heathrow Hali ilibadilika hakuwa na uwezo wa chochote Pumzi Alipumuwa kwa shida shida shida mno ndio changamoto ya kupumuwa hiyo
 
KWA SABABU MASK SIO DAWA YA CORONA .ndo maana walikuona kituko.
Huko ulaya na marekani kwani hawavai MASKI?mbona wanaambukizwa Corona na kufa?.na kila siku wanavaa maski?
unadhani mask yako ndo itakulinda na Corona?
Juzi nilivaa mask kila mtu akaniona kituko. Nikaivua na kuweka mfukoni. Sijui nifanyeje?
 
Nani kakuambia au unadhani haya maradhi ni ya mchezo mchezo Sio leta vyote hivyo sio tangawizi tu hata taborawizi Last June kafariki kaka Yangu mwingine Nairobi Hakuna mti na mmeya ambao hakutumiwa kwa kufukizwa na kunyweshwa mpaka baadhi zililetwa kutoka India na kwingineko lakini mungu alimchukuwa R.I.P Hassan Jeizan Umeondoka ungali Mdogo
JPEG_20201206_094749_-2098897173.jpg
 
Ingekuwa vyema ukatueleza ili nasi tujue
Pambana kula tangawizi, kitunguu saumu, limao n.k ili ku boost kinga yako. Mafua makali sana na mafindofindo yapo toka katikati ya Novemba 2020.
 
Mnalazimisha Sana polen

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Tunalazimisha siyo? Ili iweje kwa mtu mzima kama mimi? Toka Mid Novemba 2020 mpaka sasa kuna mafua makali sana na mafindofondo. Sijasema ni korona ila na mimi nilipatwa. Nimepiga kienyeji na nyungu ya kutosha. Niko poa. Usiombe ikukute maana utarudi hapa kufuta uulichoni quote.
 
Nani kakuambia au unadhani haya maradhi ni ya mchezo mchezo Sio leta vyote hivyo sio tangawizi tu hata taborawizi Last June kafariki kaka Yangu mwingine Nairobi Hakuna mti na mmeya ambao hakutumiwa kwa kufukizwa na kunyweshwa mpaka baadhi zililetwa kutoka India na kwingineko lakini mungu alimchukuwa R.I.P Hassan Jeizan Umeondoka ungali Mdogo View attachment 1642900

Kwa mantiki yako wewe ni kwamba hata hakuna umuhimu wa mgonjwa wa Malaria kwenda Hospital, kwasababu wagonjwa wengi wa malaria wanakufa hata wakipewa dawa za malaria
 
Duu Mungu tunusuru. Aghakan kwetu na Muhimbili na kwingineko hatutaki kusema. Ni bora kuwa wakweli ili watu wachukue tahadhari. Nafikiri nitaanza kuvaa mask tena kila niendapo kwenye mikusanyiko.
Anza leo, hazijazuiwa Tanzania. Kama wanaovaa wanakufa, unavaa za nini?
 
Back
Top Bottom