brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Baada ya Diva kudai kuwa hamfahamu Ruby, Ruby akasema anamuona Diva kama mtoto hivyo basi hawezi kubishana na mtoto
"Naona ni ujinga, i dont want to talk about it ,everybody knows me, so nahisi huo ni utoto labda tu kwa kukosa maswali ya interview aliyohojiwan ,i dont want to talk about her "
Inasemekana kwa habari zilizo chini ya kapeti ya kuwa ugomvi wa diva na ruby ni mara baada ya ruby kutokuwa na mawasiliano mazuri na clouds media na kushindwa kuhudhuria tamasha la fiesta lililofanyika mwanza August 20.
"Naona ni ujinga, i dont want to talk about it ,everybody knows me, so nahisi huo ni utoto labda tu kwa kukosa maswali ya interview aliyohojiwan ,i dont want to talk about her "
Inasemekana kwa habari zilizo chini ya kapeti ya kuwa ugomvi wa diva na ruby ni mara baada ya ruby kutokuwa na mawasiliano mazuri na clouds media na kushindwa kuhudhuria tamasha la fiesta lililofanyika mwanza August 20.