Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Mrembo mambo?Na Mimi nimeusikia mpaka nikashtuka kama sikosei ndo ilikua burudani ( nyimbo) ya kwanza ya kipindi cha jahazi.
ahaaaa CMG nasikiaa wameupiga wimbo kwa bahati mbaya ila ndio hivyo wakabidi waache mpaka uishe
nataniaa
Labda wameamua kukataa kuwa kaa
Mkuu vp?? Umevamia kambi au unatafuta bwana!???Mrembo mambo?
Walisema kabisa ni burudani toka kwa mwanadada ruby, mimi mwenyewe nilishangaa nikajiuliza nimebadili station au? labda wameyamaliza ila itakua nafuu kwa ruby maana tulishaanza kumsahauKuna version mbili za huo wimbo, moja kaimba Ruby nyingine Nandy, kama wamepiga version aliyoimba Ruby it's a good news to her
Huo wimbo sio wa Ruby ni wa CMG halafu hiyo sauti itakuwa ni ya Nandy...