Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
Kwan queen darlin ana mroto?queen darlin n mama mtu mzima km wew,huy hata mtoto hana
Nyimbo zao lazma wapige tarumbeta na video zao lazma waweke Yale magari ya impalaWCB kwani wana kitu gani special?
Jamani niwaambie mara ngapi?Mtoa mada ameandika atakuwa msichana wa pili, someni vizuri wadau.
Enjoy [emoji120]huwa nakufatilia sana [emoji1][emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hii habr inaonekana sio nzur kwako nifah..pole lakn bado nahc ni tetesi.
Mimi pia mkuu,tusubiri na tuone.Hii taarifa bado cjaiamini
Hivi lebo Ni kitu ganiHizo ni tetesi!
Hajajiunga WCB unless likitoka tamko rasmi..
Alafu mkumbuke Darassa ana lebo yake CMG kwahiyo sio kitu rahisi kwake kujiunga WCB..
Alafu "usajili" WCB ulifungwa kwa muda ili kuwasukuma wasanii ambao tayari wapo.. Kwahiyo hii taarifa itabakia tu kuwa tetesi
Ruby mpaka sasa alitakiwa awe amejiunga kitambo sana! Ila kuna vitu vilikuwa havijafikiwa muafaka..
Tusubiri official announcement..
duh acha uongoKabadili baada ya post yangu mkuu.
Lakini wakati nasoma alisema atakuwa wa kwanza.
Ningejua ningemquote post yote.
kwa hiyo ndio unataka kusemaje akijiunga WCB utafuta kauli zako za kiboya boya juu yake?!Hizo ni tetesi!
Hajajiunga WCB unless likitoka tamko rasmi..
Alafu mkumbuke Darassa ana lebo yake CMG kwahiyo sio kitu rahisi kwake kujiunga WCB..
Alafu "usajili" WCB ulifungwa kwa muda ili kuwasukuma wasanii ambao tayari wapo.. Kwahiyo hii taarifa itabakia tu kuwa tetesi
Ruby mpaka sasa alitakiwa awe amejiunga kitambo sana! Ila kuna vitu vilikuwa havijafikiwa muafaka..
Tusubiri official announcement..
Mkuu cjui unawah wapi unachapia mno ni harmonize co harminzi na ni wcb co wcfWachukue watu ambao bado wanasota kwenye game hao walishayoboa kwa kiasi flani watu kama harminzi na Ryvan hapo mwanzo hatukuwajualakini walivyokuja wcf vipaji vyao vikaonekanna ingekua vizuri wangaibua vipaji vipya
Afu ungejua ninavyokupenda wewe sijui ungejiskiajeHaya sasa,wako wapi WCB waliomponda na kumtukana Darasa kwa hii ngoja yake mpya?
Unasema Ruby atakuwa msichana wa kwanza kujiunga WCB,Queen Darling ni mwanaume?
Mtuu kaa darasa ende pale kutoa ngoma mpaka mwenye nyumba akubalii... .. ndo litakuwa kaburi lake iloNaona darasa na ruby wakienda kuua vipaji vyao tu
Una uhakika amesema wa kwanza??mnakuwa mna papara za nini kukimbilia ku-commentHaya sasa,wako wapi WCB waliomponda na kumtukana Darasa kwa hii ngoja yake mpya?
Unasema Ruby atakuwa msichana wa kwanza kujiunga WCB,Queen Darling ni mwanaume?
Hivi wewe huwa unasoma kwa kutumia nniMbona queen Darleen Yupo wcb toka cku nyingi tuu ww unasema Ruby amekuwa mwanamke wa kwanza kujiunga wcb