Ruby Ruby, nini hiki unafanya?

Ruby Ruby, nini hiki unafanya?

Tatizo ni kuwadiss watu wasiokuwa na muda na wewe, matokeo yake anaishia kuumiza moyo wake bure..
Kama anajichoresha ki-design flani hivi...
Bora angekausha akapiga mzigo kama Jide alivyoamua kufanya mpaka Leo anafanya vizuri..
Akiwekeza kwenye kudiss hatofika mbali kwani muda mwingi ataishi na donda ndugu lisilopona na maadui zake watajua anaumia, wataishia kufurahi tu.
Hata Jide aliwapa madongo kwenye Joto Hasira tena zile zilikuwa mbili zote kawaponda wao.

Hiyo ni kawaida kila mtu Ana njia zake Za kupunguza Hasira zake.

Na unasema hawana muda nae wakati nyimbo zake hawazipigi kwenye radio yao?!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mwanzo ulivyojing'atua clouds watu tulikupongeza sana kwa kukuona jasiri,
ila kipindi hiko hiko ukatoa diss track kwenda kwa clouds iitwayo Wale Wale,
Ok, tukasema labda umeamua kujiponya nafsi kwa kulitema dukuduku lililokusakama rohoni,

Hayo yakapita na maisha yakaendelea.
Chakushangaza leo umetoa wimbo mpya uitwao 'KWI KWI' ambao kwa mwenye akili timamu akiuskiza atajua waziwazi kwamba ni Disstrack nyengine kwa clouds hasahasa Boss wao Ruge,

Huu ujio wako kusema kweli umenidissapoint sana,
nilitegemea umewamwaga clouds na utaendelea na maisha mengine lakini kwa jinsi mchezo unavyokwenda unaonyesha Inferiority ya wazi wazi kabisaaa,
Ruby umekosa msimamo, unawaaibisha watu waliokukingia vifua,

unawaaibisha wanawake wenzako kwa ujumla, yani unareact kama mwanamke aliyepewa talaka kuutwaa mafumbo, Ina maana Ruge Mutahaba ndio anakutia jamba-jamba mpaka unakosa utulivu kabisa?
Na sitoshangaa kesho nikaskia umekwenda kuwapigia magoti Clouds,
shame on you.!

Hatimae ulio yaongea yametimia leo rasmi.
 
Pole sana Ruby,

sio kwamba Clouds wako vyema sana,

ni bali hakuna redio yenye viwango vya kushindana nacho,

kungekua na alternative ya redio,wasanii wengi wasingedhalilishwa hivi,

yaani sasa hivi wao ndio wao....

siku kituo kingine kikiibuka,hao Clouds watashangaaa jinsi watakavyotemwa.....
 
Alikimbilia E fm kuichafua clouds event za efm azina kiki clouds njaa ikawa kali clouds walivyo wabaya wakamtengeneza nandy akafukia pengo kabisa akaona isiwe kesi ruge njoo piga mzigo akatoa mzigo ukanyooshwa akarudishwa kundini
 
Pole sana Ruby,

sio kwamba Clouds wako vyema sana,

ni bali hakuna redio yenye viwango vya kushindana nacho,

kungekua na alternative ya redio,wasanii wengi wasingedhalilishwa hivi,

yaani sasa hivi wao ndio wao....

siku kituo kingine kikiibuka,hao Clouds watashangaaa jinsi watakavyotemwa.....
...teh hee hee..unaota na jua kali lote hili la saa 6 hii bibie?
..we chiboko!
 
hawa ndio manabii sio chizi tito anayesema pombe si dhambi sasa hapo anakuwa ametabri nini?
 
Back
Top Bottom