Hapo hamna kitu kajibinuaMkuu wewe unaona Hana mvuto lakini wengine wanamwelewa hii ni moja ya picha yake akiwa kwenye vazi la ufukweni!
Sio lazima kila mtu umjueNdio nani huyo ruby??au diwani wa chadema
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]hiyo video tunaipataje mkuu,maana wewe ndio umekuja na la maana,hayo ya ruby kupanda au kushuka atajijua mwenyewe,jaribu kufanya namna inifikie na mimi mkuu kama unayo,kizuri kula na ndugu yako eti..
Tuone kwanza uwezo wake wa kutunga maana nyimbo zote katungiwaHuyu binti kwa kipaji alicho nacho anaweza kufanya muziki inchi yoyote na akavuma kama akiwa na watu sahihi nyuma yake, hato huyo Ruge hakukitendea haki kipaji cha huyu binti.
Anamjua kwa kusikia na kumuona kwenye TV... utashangaa hapo anasifia roho mbaya ya mtu wakati hajawahi kukaa nae hata umbali wa 500 between them...!! Uliza hapo yeye binafsi, ama ndugu yake, rafiki yake au hata jamaa yake yeyote amefanywa nini na Ruge.. hana jibu... kwavile tu amesikia JF!!Nina ukakika 100% hujawahi hata kumuona kwa sura achilia mbali kumjua.Utasemaje mtu ana roho mbaya wakati hakuna chochote kinachowaunganisha?
Mwacheni apotee hajitambuiHapana
Hilo jina la RUBY lenyewe alipewa na RUGE Mutahaba,akaandikiwa nyimbo zote kasoro WALEWALE...
Aliandikiwa mashairi yote na Ruge,kuanzia na NA YULE,FOREVER.
Safari yake ya muziki ilianzia FIESTA kwenye shindano la SUPER NYOTA kule MWANZA...Angeondoka kistaarabu clouds mbona Ruge angemuelewa tu?!Nyodo zinampoza
Nakumbuka hata Mkubwa Fella alipata kusema juu ya nyodo za Ruby,kwenye video ya SU aliyoshirikishwa na YAMOTO BAND,miezi miwili anawazungusha kushoot video..mpaka Yamoto ikabidi wamtafute dada mwingine tofauti na Ruby ndio akashoot kipande cha Ruby..anadharau sana Ruby
Kuondoka clouds siyo yeye wa kwanza ameondoka,angeondoka kwa ustaarabu basi na akapata baraka kwa waliomsaidia,lakini Ruby ameondoka kwa kutoa kashfa kubwa Clouds kisa jeuri ya EFM!!
Ngoja aisome namba sasa..
Swala la kutunga sio hoja kuu katika muziki, hata Michael Jackson kuna nyibo kadhaa alitungiwa enzi za uhai wake.Na wenye vipaji vya uandishi wa mashairi ya muziki sio Ruge peke yake.Tuone kwanza uwezo wake wa kutunga maana nyimbo zote katungiwa
Mimi naamini kwa kipaji cha Ruby hata aende kufanya kazi popote nje ya tanzania,so long as atakuwa na management nzuri atafanikiwa. Mtu unayejitambua na kujiamini hauwezi kuvumilia unyonywe kwa hofu ya kuangushwa career yako.Mazoea mabaya ndio maana unaona hivi