Ruby! sifa zimemponza

Ruby! sifa zimemponza

005c6fe78230809d39117f916ed77af2.jpg
akitokea THT ni binti mnyange aliyetikisa anga la muziki wa bongo fleva mwaka uliopita..
Ana kipaji
Ana mvuto
Ana sauti
Lakini akakosa miongozo sahihi...utoto na pengine ulimbukeni wa kuwa maarufu ghafla kutokana na tungo zake tamu vilimchanganya hata kufikia kujiona kuwa sikio lake ni kubwa kuliko kichwa
Taratibu akaanza dharau na nyodo, akawadharau hata wadau muhimu kwenye industry, akatema bazoka kwa njugu za kuonjeshwa
Sasa Ruby wa mwaka jana si wa mwaka huu! Si habari tena, wengi wamepotea kwa njia hii list ni ndefu sana na hii yote imetokana na kujikweza na kulewa sifa haraka sana kabla ya mafanikio
1026a3911f5fce2e930e2e52122802cc.jpg
 
Mimi huwa nafikiria kama mimi ndio ningekuwa Ruge au mtu yoyote angekuwa Ruge tena mwanaume kamili kweli angekubali kuwatengenezea watu mkwanja na yeye asilambe hata kdogo, au watu waendeshe magari na yeye atembee kwa mguu, awatengenezee majina mabinti tusiowajua hadi kujilikana Tanzania nzima asile hata papuchi za hawa mabinti zikiwa za moto ziliwe na viongozi, mapedeshee na wauza sura wa mjini pekee...Nikifikiria haya mambo huwa simlaumu Ruge nafikiri anapaswa kupongezwa kwa kuiona fursa na kuyafanya maisha yake yawe rahisi mno.
 
hiyo video tunaipataje mkuu,maana wewe ndio umekuja na la maana,hayo ya ruby kupanda au kushuka atajijua mwenyewe,jaribu kufanya namna inifikie na mimi mkuu kama unayo,kizuri kula na ndugu yako eti..
Nam naisubiria kwa hamu kubwa
 
Huyu binti kwa kipaji alicho nacho anaweza kufanya muziki inchi yoyote na akavuma kama akiwa na watu sahihi nyuma yake, hato huyo Ruge hakukitendea haki kipaji cha huyu binti.
Ruge aliishia hapo nayeye aendekeze kipaji chake mwenyewe asilaumu tuu kwan Ruge ni Mungu wake?
 
Ruge aliishia hapo nayeye aendekeze kipaji chake mwenyewe asilaumu tuu kwan Ruge ni Mungu wake?
Kwani amelalamika kutandewa visivyo akiwa mbali nae au akiwa chini yake mkuu? Huyu binti ana haki ya kufaulu maisha kama ilivyo kwako wewe na mtu mwingine yeyote.Changamoto alizozipitia anazijua yeye na ex bosi wake.
 
Kwa muonekano huo anayesema hana mvuto ashike adabu yake ! Kama mmeshazoea kugegeda malaika kivyenu ila kwa binadamu wenzetu yuko poa sana anatia genye 500%!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ruby ndo basi tena..... ukiachana na jide komando , Kwa muziki wa tz msanii akizinguana na ruge basi ashapotea, kama ni kipaji cha kuimba hata kina rama dee wanaimba tena sana tu ila walipozinguana na kinaruge ndo bye bye ,,Ruby pole sana
 
Back
Top Bottom