Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ndo watawala unaowateteaga wanafanya mambo hayoMbona hii ajabu sasa, madini ya pesa ndefu kama hii yalichimbwa hapa nchini kwetu na kusafirishwa Dubai bila mamlaka za serikali kufahamu?
Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai
Hukumtetea Sabaya wewe?Huu upuuzi ndio mimi huwa sipendi. Nilishatetea mafisadi?
Tafuta pesa weweHoja hapa sio elimu juu ya masoko. Jiwe hili limefika vipi dubai hata wizara ya madini haifahamu?
SIgeuzi mada, nakujibu swali lako kwa mfano halisi.Acha kugeuza mada.
Hutakuwa na muda wa kushangaa visivyoshangazaIli iweje?
😂😂Umepaniki bro..!!Haya kajambe sasa.
I see!Ilipatikana lini?
Wakati wa mlipuko huko winza, mpwapwa tulikuwepo
Mpaka mawe yakakata
Waliyopata walipata waliyokosa walikosa
Kwa sasa mlio wa ruby uko mahenge mambo bulbul shazi huko
Nendeni mkajaribu bahati zenu,acheni kulialia na kukaa mjini
Ova
😂 😂 😂 Umepaniki banaaaNenda kajambe bana.