Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza 🙌Shamba la bibi..ukipata gap piga...mana wanao hubiri uzalendo ndio vinara wa upigaji.
#MaendeleoHayanaChama
Ebu piga kuku mmoja wa 20, 000/= au Million 1 uone kama hutaozea jela hadi tukusahau [emoji3526]Shamba la bibi..ukipata gap piga...mana wanao hubiri uzalendo ndio vinara wa upigaji.
#MaendeleoHayanaChama
Ukiishiwa hoja unapanikiUnashindwa nini kujamba ili utulie?
Hii Nchi yetu nayo iangalie makodi Kodi kwenye madini yetu maana mengi yanatoroshwa ..Mbona hii ajabu sasa, madini ya pesa ndefu kama hii yalichimbwa hapa nchini kwetu na kusafirishwa Dubai bila mamlaka za serikali kufahamu?
Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai
15 April 2022
WAZIRI DKT. BITEKO - ATOA ONYO KALI, WANAOPELEKA MADINI SOKONI WASISUMBULIWE
Source : DARMPYA TV
Hayauziki, yaani Ili mtu auze hapa anakuwa ameshindwa njia za kutorosha 😀😀Mbona unaenda mbali na nje ya mada? Kwani nini maana ya kuwa na masoko ya madini hapa nchini? Kwa nini uuze madini nje ya utaratibu?
🤣🤣🤣☝️Huko dubai niliipeleka mimi, njooni mnikamate.
Sasa imagine mtu anatengeneza kampuni ya mchongo,anaipa Kazi waliyoweka bei mara 3 zaidi ,baada ya hapo wakipata tenda ,wanauza kwa mjenzi afu wao wanapiga pesa.Hii nchi bila kutoa mifano kwa kunyonga watu na kufilisi watu hawawez badilika
Sasa imagine mtu anatengeneza kampuni ya mchongo,anaipa Kazi waliyoweka bei mara 3 zaidi ,baada ya hapo wakipata tenda ,wanauza kwa mjenzi afu wao wanapiga pesa.
Watu wamepiga bil.64 za bure kutoka 104-40=64..
Kwa staili hii unategemea nini? Hapo Mwendazake alikuwepo pamoja na kufoka kote.