kwa upande wa st.agustine of hippo.nina maanisha tawi ta mwuce,vijana wameendelea kuwa na madenimadeni kutoka kwa in service ambao wanaendelea kula bata na kamshara kao ka kila mwezi,ila kusema kweli hali ya wanachuo mwuce sio mbaya sana cos inservice wana upendo sana.SUBIRA YA VUTA KHERI,PIA KIMYA KINGI KINA MSHINDO MKUBWA,MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI HESLB,