Lenin V.I.U
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 218
- 62
Katika hali ya kusikitisha wanafunzi wa Ruaha University mkoani Iringa wameambiwa wawe wavumilivu kuhusu `boom' kwani bodi ya mikopo kwa sara haina fedha. hata hvyo ni UDSM pekee ndio wamepata fedha kwa kuhofia maandamano. matawi yote ya SAUT hali ni mbaya zaid kwa wanafunzi wake