Rucu

Rucu

Cha kuwakumbusha kiwango cha maambukizi ni kikubwa mno Iringa hivo kinga muhimu wapo wengi tuliondoka wameshaumia na wengine washatangulia mbele za haki kwa Ukimwi, mazingira ya Iringa yako poa na wenyeji wa Iringa ni wakarimu sana sijapata kuona na kingine zaidi budget muhimu sana maana hua wanafunzi inakua balaa kwenye maish watu wanakula hadi hela ya chakula wanakosa ndio pale mabinti tulikua tunawala kwa plate za wali samaki pale cafeteria lunch na mzigo unachukua
 
kwa mliochaguliwa rucu nitafuten mpate maelezo yote sahihi, mm ni kiongoz hapo wa serikal ya wanafunz, karibun sana 0758021187
0654700854
 
yes,nami nimechaguliwa huko na nmeangalia picha mbalimbali za chuo nimerizika na mazingira yake labda kama kuna mtu anaweza kutuambia changamoto za pale ili tujipange
changamotto kuu n barid, warembo na mabitoz wamo. huduma za kijamii zpo. tumezungukwa na vyuo kibao mf mkwawa, tumaini/iringa muccobs, open na colleji kibao za diploma so uhakika wa warembo upo na mabishoo kama mimi tupo. chuo kipo mjini kabisa. club na sehem nyingne za kujimwaga n ww tuu ila uwe makin hii mitaa ndo inayoongoza kwa ngoma so kama unapenda nyapu kama mm asee jiangalie mara mbili mbili. pia uvaaji ni changamotto kubwa vpedo cjui vdudu gan kama ww ni demu viweke mbali na surual sjui nn tight uavivaa ukiwa nje ya chuo tuu. maana chuo kinaongozwa na mapadre kama kinavyoitwa catholic. pia uwe tuu na pesa zako kiasi za kuvinjari. hostel zpo sehem za chuon, kichangan na ganglonga. ni hayo tuu ila naomba ukija nikupokee mm huku mwenyeji. niletee na zawad ww mdada/mkaka.
pia cku za kuripot na mautaratibu mengne washatoa matangazo kwa website yao
 
Cha kuwakumbusha kiwango cha maambukizi ni kikubwa mno Iringa hivo kinga muhimu wapo wengi tuliondoka wameshaumia na wengine washatangulia mbele za haki kwa Ukimwi, mazingira ya Iringa yako poa na wenyeji wa Iringa ni wakarimu sana sijapata kuona na kingine zaidi budget muhimu sana maana hua wanafunzi inakua balaa kwenye maish watu wanakula hadi hela ya chakula wanakosa ndio pale mabinti tulikua tunawala kwa plate za wali samaki pale cafeteria lunch na mzigo unachukua
pamoja mdau shkrani umewaambia. umemaliza mwaka gan mm pia penda totoz naanza mwaka huu pale
 
hostel n changamoto kubwa ndan zipo chache kw wacchana bei nikuanzia 350 kw watu 4 n sh 400 kw wat3 n 450 kw watu2 anayelipa mapema ndo anapata chumba ndan
 
umenikumbusha mkuu 2007 ruco club ilikua mita chache toka ukumbi mkuu huku pindi linaendelea na mtaalamu marehemu kabissi huko watu wanagonga glass ruco club mwisho wa siku mukoyogo analamba vichwa na maisha yanaendelea prof nditi,mtaki, jese, mwaikusa, mwaikasu, madam mzungu, ngoda,stella ukienda ict unakutana na masenya mtaalamu da ruco ilikua tamu sana
 
Nimefurahi wadau mna changia na kupeana uzoefu pia changamoto,wageni wa Chuo ni vzr kuzingatia ili kufanikisha lengo kuu katika rucu,na mengine ni ziada
Ni ushauri tu
 
nashukuru xana wakubwa kwa nasaha zenu xaxa naamn rucu kwel kuna wa2 walioelimika tofauti na vyuo vingine ambapo mwaka wa pil na watatu huwakatsha tamaa first year.thank you brothers and sisters wale basket ballers tutakuwa pamoja tujenge afya,tunawategemea sana wakubwa wetu mtuonyeshe njia kidogo
 
nashukuru xana wakubwa kwa nasaha zenu xaxa naamn rucu kwel kuna wa2 walioelimika tofauti na vyuo vingine ambapo mwaka wa pil na watatu huwakatsha tamaa first year.thank you brothers and sisters wale basket ballers tutakuwa pamoja tujenge afya,tunawategemea sana wakubwa wetu mtuonyeshe njia kidogo

wanatupa moyo wana moyo wa upendo wengi wao wameelimika ni faraja kubwa kwetu
 
Vipi kak,cafeteria na vyumba nije ya chuo shngp by guessn!?

Cafeteria ipo vema tu,chakula unapata kwa kiasi cha pesa uliyonayo,thn kuna cafeteria za nje zina huduma nzuri tu,kama ni mwaminifu kwa maisha ya uanafunzi uishiwa pesa,wanaweza kukupa chakula kwa mtindo wa bill...vyuma vya nje vipo, ila unatakiwa kuwahi kuja kutafuta chumba,maana ki ukweli hostel hazina uwezo wa kubeba wanafunzi wote,sema uwa kuna priority kwa first year japo c sana,walemavu,n.k,na bei ya vymba nje ni kuanzia elfu 20,25,30,35,40,45,50 n.k ni wewe tuunataka rum ya aina gani. Welcome RUCU,
 
Cafeteria ipo vema tu,chakula unapata kwa kiasi cha pesa uliyonayo,thn kuna cafeteria za nje zina huduma nzuri tu,kama ni mwaminifu kwa maisha ya uanafunzi uishiwa pesa,wanaweza kukupa chakula kwa mtindo wa bill...vyuma vya nje vipo, ila unatakiwa kuwahi kuja kutafuta chumba,maana ki ukweli hostel hazina uwezo wa kubeba wanafunzi wote,sema uwa kuna priority kwa first year japo c sana,walemavu,n.k,na bei ya vymba nje ni kuanzia elfu 20,25,30,35,40,45,50 n.k ni wewe tuunataka rum ya aina gani. Welcome RUCU,

fresh kaka
 
Natumai mu-wazima kabisa.
Haya, kama wanavyosema watu kuwa "JASIRI
HAACHI ASILI" kwa hiyo si vibaya tukiendelea
kuangalia vile vitu ambavyo vinapatikana katika
ASILI YETU YA KIAFRIKA na kutokukubali kuwa
WATUMWA kwa sababu tu "MSAHAU/MKATAA
KWAO NI MTUMWA" sasa basi tusiwe
WATUMWA kwa kukataa vya kwetu na
kudumisha MILA ZA WENZETU na ndio maana
wenzetu wamekuwa wakiendelea kwa sababu tu
wamekuwa wakidumisha MILA zao vile
inavyotakikana kuliko kutukuza MILA ZA
WENZAO.
Sasa leo kuna hii dawa ambayo inajulikana
kama MVWAZA au AZMAH, inaweza ikawa
umeshawahi kuiskia labda, au kuambiwa
pengine au hata kuitumia pia, labda inaweza
ikawa inajulikana kwa jina jingine kwenye kabila
lenu yawezekana lakini kwa mimi naifaham
ikijulikana kwa jina la MVWAZA au AZMAH.
Dawa hii inatumika kunako mambo kadha wa
kadha kama nilivyokwisha dokeza kunako
kichwa cha habari hapo juu kuwa, inatumika
kuleta mvuto kwa mtu, kama ulikuwa ni mtu wa
kuchukiwa na watu ama kutokupendwa tu bila
sababu yoyote basi watu wakatokea
kukuchukia, dawa hii kazi yake ni kukuongezea
mvuto kwa kiasi kikubwa mno.
Wataalam wanashauri unapokuwa na dawa hii
inatakiwa kuwa makini sana hasa na jinsia
tofauti kwa sababu unapoinuia basi yenyewe
hufanya kazi kama vile ambavyo umeinuia, hasa
kwenye suala la mvuto kwa mwanamke
utakuwa ni mwenye mvuto mno kwa jinsia ya
kiume na pia kwa mwanaume huamsha sana
hisia za mvuto kwa jinsia ya kike na vinginevyo.
Dawa hii kazi yake nyingine ni kupumbaza mtu
ambaye utamkusudia kwa lengo maalum,
mathalan ; Natumai mtakuwa mmeskia labda
mtu akitafutwa na polisi na utakuta polisi
anakufaham na mkapishana kabisa pasina
shaka yoyote bila ya kukukamata.
Au utakuwa umeskia labda mtu ana kesi
mahakamani, pengine ni kesi kubwa tu ambayo
kwenye mazingira ya kikawaida inakuwa ni
ngumu kuchomoka, lakini kwa dawa hii ni
jambo la ajabu sana ambalo utaweza
kushangaa na utaskia mtu mwenye kesi husika
akishinda kesi au akaachiwa huru kuonekana
kuwa hana hatia au akashinda kesi kwenye
mazingira ya kutatanisha kabisa.
Dawa hii pia inaweza kumpumbaza mtu akiwa
dukani au hata njiani na ukamuamuru mtu
husika afanye jambo fulani labda unaweza kuwa
umeskia kuwa mtu ameuziwa hata kipande cha
chupa akiambiwa kuwa ni ALMASI na asielewe
mpaka pale anapokuwa ameachana na huyo
aliyemuuzia ndipo anapokuja kugundua kuwa
alichouziwa si kitu ambacho alichokuwa
akikitarajia kuwa ndio hicho.
Yani unapoitumia inakuwa kama inampumbaza
au kumfunga mtu husika hata kwenye kuongea,
ni wewe tu ndiye unakuwa ukiskilizwa.
Wengine wamekuwa wakiitumia kuwapumbaza
watu kwa kutumia labda pesa bandia kwa
kumpa mtu wa dukani au pengine hata m-pesa
au tigo pesa then utakuta mtu anakuja
kugundua baadae kabisa kuwa alizopewa ni
pesa bandia, na anaweza akagundua ndio lakini
bila ya kujua ni nani aliyemkabidhi pesa hizo
feki.
Kwa kifupi ina mambo mengi sana na uwezo wa
ajabu kabisa. Hiyo ndiyo MVWAZA au AZMAH
wapo wengi wakiitumia dawa hii na pengine
waweza kuwa umeiskia au kuambiwa mahala,
au labda na jina linaweza kuwa ni tofauti ila
kazi zake zinaweza kuwa ni kama hii kwa
asilimia 100, sasa sjui kwa kwenu mtakuwa
mnaiitaje lakini kwa mimi naifaham ikijulikana
kwa jina la AZMAH.
Dawa hii inawafaa wanafunzi kwa sababu
itawarahisishia maisha ya chuoni mfano huna
hela na ada unadaiwa basi ukisema tu sina
wanakupa muda wa kutafuta. yaani jina lako
litatamba popote hakuna kudisco yaani full
kufaulu.
tumeanza ofa yetu itadumu mwezi mmoja,kwa
mawasiliano zaidi tutafute kwa namba
0718151415
 
Back
Top Bottom