Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
tafazali Kipipi,nyumba nijenge mimi kulala nilale kwa jirani? Arrrrrrrrooooo tena usirudie kusema maneno hayo!
Nyumba ni yako umeacha wafanyakazi wako humo ndani? Au umekodi mtu wa kukulindia chumba? Nani anapenda kujiwa usiku wa manane kila siku, mfanyakazi wa kufua suruali, kutandika kitanda na kufungua mlango?? Unamlipa sh. ngapi? Kama we jeuri badilisha kitasa uwe na funguo yako......upoo!!