TEACHER FRANK MSIGWA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 537
- 445
Na Ludovic ameanza kuichezea African lyon huku mkataba na timu yake ya awali Mbao umeisha..so kumbe ngoma drookessy hajawahi kucheza mechi yanga akiwa na mkataba na simba elewa hilo tatizo ni taratibu za usajili hazikuwa sawa alisaini yanga wakati ana mkataba bado na simba alianza kucheza yanga wakati mkataba wake rasmi umeisha