njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
legacy lazima ilindwe bana, waliahidiwa kulindwaAisee
kabisa watu wana wivu sana aiseeee fikira jana mijaji mizima na midevu yao inaona wivu kisa watu wanapiga hela zao bungeni hukoMwanaume mzima unamuonea wivu demu kisa pesa.
Chadema acheni ujinga huo.
Achaneni na wanawake hawa wale pesa zao..shida iko wapi mbona tunanyang'anyana keki jamani
hili sakata lote ni wivu wa pesa tu spika akazie hapohapo hamna hata la maana ni wivu aendelee kuwaumiza roho kwa kuziba masikio hawna la kumfanyaWsnaume wa chadema wana wivu wa kishamba sana
Wsnaume wa chadema wana wivu wa kishamba sana
Majizi nyie. Mnakula hela ya umma bila ridhaa yao. Ila yanamwisho.Wsnaume wa chadema wana wivu wa kishamba sana
Usimdhalilishe Mjerumani hakuna ujinga kama unavyofikiri wewe,Rushwa ni adui wa hakiMwanaume mzima unamuonea wivu demu kisa pesa.
Chadema acheni ujinga huo.
Achaneni na wanawake hawa wale pesa zao..shida iko wapi mbona tunanyang'anyana keki jamani
Ajira yenyewe ngumu jamani halafu mnataka hizi ajira 19 mzikatili kweli? hapo kuna watu kama 200 wanafaidika na uwepo wa covid 19....
Heri yenu nyie wanawake wa CCM ambao hamna wivu.Wanaume wa chadema wana wivu wa kishamba sana
Hapo hawana namna zaidi ya kuvunja katibaAjira yenyewe ngumu jamani halafu mnataka hizi ajira 19 mzikatili kweli? hapo kuna watu kama 200 wanafaidika na uwepo wa covid 19...
Kwani wameomba msamaha? wakubali kufukuzwa kisha waombe kurudiKwa juhudi walizoonyesha covi19 za kutaka uhalali wao juu ya chama chao na kurudi chamani, ningefurahi kama kamati kuu ya chadema wangewasamehe tu hakuna aliekua mkamilifu
Mpuuzi mkubwa, kwa hiyo waendelee kula pesa za umma bila kufuata sheria na katibva kisa ni wanawake?Mwanaume mzima unamuonea wivu demu kisa pesa.
Chadema acheni ujinga huo.
Achaneni na wanawake hawa wale pesa zao..shida iko wapi mbona tunanyang'anyana keki jamani
Kuna lyanaume moja lilimpora ubunge Sofia Simba, etc, mpaka Mungu akachukia.Mwanaume mzima unamuonea wivu demu kisa pesa.
Chadema acheni ujinga huo.
Achaneni na wanawake hawa wale pesa zao..shida iko wapi mbona tunanyang'anyana keki jamani
Ajira yenyewe ngumu jamani halafu mnataka hizi ajira 19 mzikatili kweli? hapo kuna watu kama 200 wanafaidika na uwepo wa covid 19...