econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ajira yenyewe ngumu jamani halafu mnataka hizi ajira 19 mzikatili kweli? hapo kuna watu kama 200 wanafaidika na uwepo wa covid 19
Nasema hivi ile ahadi ya ndugai ya kuwalinda hawa wanamapinduzi wapenda haki mashupavu 19 inatendewa haki sana na mwanamama hodari gwiji la sheria kabisa
Rufaa iendelee kazi iendeleee waliiindweee na ieleweke kuna mihimili iliyojichimbia chini zaidi ya mingine
View attachment 2269800
Unapokata Rufaa hukumu ya nyuma inabaki Kama ilivyo haibadiliki. Halafu akina Halima Mdee hawawezi kukata Rufaa wanahitajika kufungua kesi mpya.
Ila Mimi nashangaa Mbowe anaongea nini na CCM.