Rufaa za necta necta-haijabadilika!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Wadau, ukipitia rufaa za mtihani wa taifa form 4 mwaka jana 2011, only one student got her results changed from F to D in Basic mathematics.
Kama ni hivyo, hongera NECTA for that high degree of precision!!! Kweli lakini????????
 
Kumbe ni kweli rufaa hizi huwa hazisaidii chochote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…