Huyo jamaa katoa hoja ya hovyoKwani bila huko rufiji kuwa mkoa wananchi hawawezi kupata maendeleo??
Hivi huko CCM vichwani mwenu mnafugaga funza nini? Hizi akili mnazitoaga wapi?
Kweli mpumzike tu!
Kazi kweli kweliHili limedhapita. Rufiji itakuwa mkoa mwaka huu makao makuu ni Ikwirir, mkoa utaundwa na wilaya za Mafia, Kibiti, Rufiji na Mkuranga
πππHayo yote yatakusaidia nini wewe? Au ndo mnawaza vyeo tu?
Badala ya kuibana Serikali iweke huduma bora kwa wananchi katika maeneo yote nyie mnawaza kuanzisha mikoa na wilaya ili mpate vyeo.
Kweli ujinga ni kipaji Tanzania
Kumbe mushapitisha tayari? Ndio maana wameipa hadhi ya Manispaa Rufiji na MkurangaHili limeshapita. Rufiji itakuwa mkoa mwaka huu makao makuu ni Ikwiriri, mkoa utaundwa na wilaya za Mafia, Kibiti, Rufiji na Mkuranga
Ushauri wangu kwa Mchengerwa:
1. Mkoa utakaoundwa na wilaya za Kisarawe, Bagamoyo, Chalinze na Kibaha uitwe Mkoa wa Bagamoyo.
2. Mkoa utaoundwa na wilaya za Rufiji, Kibiti, Mafia na Mkuranga uitwe mkoa wa Rufiji.
Kusiwe ma mkoa unaitwa Pwani
Lengo lilikuwa ni Hilo.Mama mkwe ni juzi tu aliipandisha hadhi na kuwa halmashauri ya mji, Magu alipanda mbegu mbaya sana nchi hii.
Ina maana CCM inavyosema imefanya maendelo huwa inadanganya?!Rufiji inafaa sasa kuwa Mkoa kamili. Ili kumpelekea mwananchi maendeleo. Kaskazini mtusubiri Kwanza.